wana jf naombeni mnisaidie jinsi ya kublock no ya simu kama sitaki anipate hewani angali no zingine zinanipata
Mie na2mia NOKIA 2330CLASic.
Simu yako ni java nokia s40 mafile yake hayasupport kublock calls, labda kukusaidia unaweza tengeneza group then uka assign tone kwenye hilo group
Katika hilo group watu wote wasumbufu usopenda call zao waeke humo halafu tone eka off vibration off, hutapata usumbufu
je mm mwenye nokia 3120classic ntaweza
Bonyeza *35*0000# halafu ku unblock bonyeza #35*0000#
hii me huwa naitumia,lakini hapa watu wote watakukosa,hutopata call wala sms,kwa hyo haina manufaa xana.
Ina manufaa pale ambapo ukizima simu ni kesi so unasema hukuzima tatizo ni network!
mi nainjoy na mchna wangu, kuna blacklist and u can add up to 20 numbers....inabadilisha sauti pia...nshamkomesha mdada mmoja, nilimwekea sauti ya kike...hajanitafuta tena.
divert namba yako kwenye namba hiyohiyo yako-eg no yako ni 0713100100,njo kwenye divert calls then uidivert kwenye namba hiyohiyo-watu wote wakikupigia itabidi warudie hata mara 5 au na zaid ndo wakupate-maana wataambiwa namba unayopiga haipo-ichunguze tena-japokuwa inaweza kuita kwake mara moja tu then akaambiwa hayo maneno-kwako wewe utaona kama amekubip-
mi nishaitumia hiyo njia-inapunguza usumbufu-maana mtu akibipu ujue kwake kapiga na kaambiwa hio namba haipo.
tatizo la hii njia ni kwamba inabid wale watu muhimu ukiona wanakupigia then inaingia as missed call-wewe ndo unatakiwa uwapigie-then utasingiuzia mtandao.
SMS zinakuwa zinafika pasipo tatizo
Bonyeza *35*0000# halafu ku unblock bonyeza #35*0000#