allydasmartboy
Member
- Jul 14, 2018
- 36
- 7
Jamani naomba msaada wa kuapply SUA nimesha jisajiri sasa wamenitumia password kila nikiingiza naambia hazifanani wakati wamenipa wenye au ninakosea wap????
hapana mi sikupewa labda huyo mwenzangu wa juu alipewaVocha namba umepewa???
hapana inaniandikia tu invalid username or password wakati nimeziandika kwa usahihi kabisa kama walivonitumia kwenye smsUkilog in hayaji maelezo mekundu yana hizo vocha namba?
daah we acha tu mbaya zaidi hata mawasiliano yao hawawekiDuh hapo ishu
Issue ni ku-login utapataje jinsi ya kulipa bila kuingia kwenye system??Pole bro, kwa SUA, ukishakamilisha malipo. Utatumiwa username yako ambayo hujumuisha no zako za form four pamoja na miaka uliyomaliza form four na form six na password ambayo huwa ni tarakimu sita via email uliyotumia ku-register, so angalia vizuri. Tatizo likiendelea Log out then Log in.
kweli kabisa tatizo langu mimi ni kwamba hata kwenye kufanya malipo sijafikiai kwa sababu username na password walizonipa haziniruhusu kulogin kwenye akaunti yanguIssue ni ku-login utapataje jinsi ya kulipa bila kuingia kwenye system??
Same problem kwa watu wengi hi hivyo so tuombe mwenye direct contact za SUA aweze tu-serve hapa waweze fanya resetkweli kabisa tatizo langu mimi ni kwamba hata kwenye kufanya malipo sijafikiai kwa sababu username na password walizonipa haziniruhusu kulogin kwenye akaunti yangu
Hapo nduguu tatzo tulipoteza reference namba hvyo hawez kulog in mpaka uzipate reference nambakweli kabisa tatizo langu mimi ni kwamba hata kwenye kufanya malipo sijafikiai kwa sababu username na password walizonipa haziniruhusu kulogin kwenye akaunti yangu
Hapo nduguu tatzo tulipoteza reference namba hvyo hawez kulog in mpaka uzipate reference namba
Helpdaaah hatimaye nimewapigia simu wamenisaidia kusolve hii issue
Nisaidie namba zao basidaaah hatimaye nimewapigia simu wamenisaidia kusolve hii issue
Kuna muongozo jinsi ya kulipia download kweny website yaoJinsi ya kulipia msaada
Reference number tayar ninayo
Kwa mpesa