Msaada jinsi ya ku renew kitambulisho cha taifa

Msaada jinsi ya ku renew kitambulisho cha taifa

carlkate

Member
Joined
Oct 8, 2018
Posts
32
Reaction score
31
Salaam wana JF

Naomba msaada wa kujua nini vinahitajika kurudisha/kurenew kitambulisho cha taifa
Mimi ni mkazi wa Dar Wilaya ya Ubungo
Nianzie wapi na natakiwa kumuona nani nikiwa na nini
Kinachukua muda gani kukipata mara baada ya kukamilisha taratibu na mahitaji yote
NB. Najua ngeweza kupata taarifa hizi moja kwa moja kwa wahusika,lakini nimekuja hapa walau kujipanga kwa maandalizi

Asanteni Kwa ushirikiano
 
Hapana ile ni ofisi yao kubwa inefunguliwa juzi kati tu hapa nina imani inahusika na mkoa mzima.

#DG
 
Back
Top Bottom