Twende code ni 0022Njoo online nikupelekee moto
yalikuwa ya offlineSawa mkuu ila ya uko nyuma yalikuwa yanakubali
Wakuu nimebanana leoNjoo pm mzee
😂😂sawaa mkuu nitakutafutaNjoo online nikupelekee moto


Kipimo cha kuchukua hizo mechi umetoa wapi kwa nini tusichukie tokea mwaka uanze ndio rekodi ilionyooka haina...
Unawachezaji wazuri ,tatizo wanapower ndogo hakuna hata mwenye bluu (above 90) sasa hapo ukiplay online league au events unakuta na mtu anawachezaji kama wako ila wana power ya kutosha na kujikuta unafungwa japo umemzidi uwezo.
nimeanza kucheza mwaka jana mkuu la 2022 lile nilikuwa na 90 first eleven yote.. nikampa data yangu mshakaji akaanzisha upya nikaacha kucheza nimelud juzi juzi tuu ila hapa namalizia kufungua formation nianze kuwajaza nguvuUnawachezaji wazuri ,tatizo wanapower ndogo hakuna hata mwenye bluu (above 90) sasa hapo ukiplay online league au events unakuta na mtu anawachezaji kama wako ila wana power ya kutosha na kujikuta unafungwa japo umemzidi uwezo.
Sasa ukipata kikosi kipana kama hiko inabidi ufocus zaidi kwenye kuwajaza nguvu wachezaji na sio kusajili tena mfano mm nina fist eleven na sub chache nikosajili sasa nauza Moja kwa moja ili ni gain power ya kumjaza mchezaji maana wkt mwngne kupata diamonds 💎 inakuwa ngumu na inachelewesha .Na kwenye kujaza base kwenye fitness na sio technical..
Mkuu ngoja nikuchekiKabisa kama unajijua una weza tembeza bolo sema tupo hapa wazee wa kazi
nimekucheki nikiwa free ukawa kimya