snochet
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 1,488
- 1,281
habari ndugu zangu,
ninapata shida kidogo juu ya ulaji wa mafuta kunagari aambayo tunaitumia kwa shughuli za kikazi ina 2.5 engine,kila nikiitumia mimi,wanalalamika fuel consumption inapanda from 0.11 kwa km to 0.13....nimejitahidi sana kutotembelea gear kubwa kwa muda mrefu,na kumaintain RPM isizidi 2.0 wakati wa ku-engage gear...lakini bado consumption iko palepale,akiendesha mtu mwingine kwa round moja ya full tank inarudi 0.12.....
je ninaweza nikasaidika,kwa njia mbadala na ushauri ili gari lisitumie mafuta mengi zaidi?
asanteni ,nashukuru
ninapata shida kidogo juu ya ulaji wa mafuta kunagari aambayo tunaitumia kwa shughuli za kikazi ina 2.5 engine,kila nikiitumia mimi,wanalalamika fuel consumption inapanda from 0.11 kwa km to 0.13....nimejitahidi sana kutotembelea gear kubwa kwa muda mrefu,na kumaintain RPM isizidi 2.0 wakati wa ku-engage gear...lakini bado consumption iko palepale,akiendesha mtu mwingine kwa round moja ya full tank inarudi 0.12.....
je ninaweza nikasaidika,kwa njia mbadala na ushauri ili gari lisitumie mafuta mengi zaidi?
asanteni ,nashukuru