Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,052
- 9,855
Habari wadau,
Kwa magari ya sasa mengi huwa kuna option ya kutumia cruise control.
Kwa uelewa wangu ni option ambayo inapatikana kwenye gari na unaweza kuset speed ya gari kutembea kwa mwendo fulani bila kukanyaga mafuta. Mfano unaweza set 60km/h ukiweka hapa gari lako linakua lina accelerate kwenye speed pasipo ukanyagaji mafuta.
Option hii huwa inasaidia sana kumaintain fuel consumption.
Advantage za CC ni
1. Kama upo kwenye safari ndefu inasaidia kuondoa uchovu kwa kukanyaga mafuta mara kwa mara.
2. Upunguza ulaji wa mafuta.
Disadvantage
1. Haifai sehemu za msongamano.
2. Pia unapobadili barabara gari haitambui kama barabara ina utelezi kokoto au laah.
Kwa wenye uelewa zaidi karibuni tupeane ujuzi zaidi....
Kwa magari ya sasa mengi huwa kuna option ya kutumia cruise control.
Kwa uelewa wangu ni option ambayo inapatikana kwenye gari na unaweza kuset speed ya gari kutembea kwa mwendo fulani bila kukanyaga mafuta. Mfano unaweza set 60km/h ukiweka hapa gari lako linakua lina accelerate kwenye speed pasipo ukanyagaji mafuta.
Option hii huwa inasaidia sana kumaintain fuel consumption.
Advantage za CC ni
1. Kama upo kwenye safari ndefu inasaidia kuondoa uchovu kwa kukanyaga mafuta mara kwa mara.
2. Upunguza ulaji wa mafuta.
Disadvantage
1. Haifai sehemu za msongamano.
2. Pia unapobadili barabara gari haitambui kama barabara ina utelezi kokoto au laah.
Kwa wenye uelewa zaidi karibuni tupeane ujuzi zaidi....