Rubi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2009
- 1,615
- 326
Wataalamu naombeni msaada wa jinsi ya kuzi-block e-mail usizozitaka mfano hizi zinazotangaza viagra n.k maana siku hizi nimekuwa nakerwa sana na hizi email maana imekuwa ndio fasheni ukifungua unakuta email imetumwa na mtu ambaye yuko kwenye contact zako au wakati mwingine hata imejiandika jina lako lakini inaandika no subjet ukifungua unakuta hakuna kitu kingine zaidi ya link za ajabuajabu tena unakuta hizo link zimetumwa mpaka kwenye email za watu unaowaheshimu ambao umesevu email address zao kwenye address book. kiasi inakuwa kero.
Msaada jamani nikifanikiwa kuzi- block nitashukuru sana. maana zinanikera kupita maelezo.
Msaada jamani nikifanikiwa kuzi- block nitashukuru sana. maana zinanikera kupita maelezo.