MSAADA JINSI YA KU UPDATE FTA RECEIVER

nzaghamba

JF-Expert Member
Apr 26, 2017
1,077
1,139
husika na title hapo juu,tafadhali kama kuna anaejua jinsi ya kusasisha(ku update) hizi receiver za Free To Air naomba atujuze...mimi nimeishia kuelewa hapo wanapotoa update mpya kwenye mtandao file za kupakua update zinakuwepo sasa shida inakuja jinsi gani naweza kuipakua je ninaunganisha receiver na PC ili update iweze kuingia au natumia flash maana receiver ninayotumia ina sehemu ya kupachika flash je ndio mojawapo ya matumizi yake na je sehemu hiyo nawezaje kuitumia pia kwa moderm...msaada wajuzi mwenye anafahamu atusaidie kwa hilo
Thnx
 
husika na title hapo juu,tafadhali kama kuna anaejua jinsi ya kusasisha(ku update) hizi receiver za Free To Air naomba atujuze...mimi nimeishia kuelewa hapo wanapotoa update mpya kwenye mtandao file za kupakua update zinakuwepo sasa shida inakuja jinsi gani naweza kuipakua je ninaunganisha receiver na PC ili update iweze kuingia au natumia flash maana receiver ninayotumia ina sehemu ya kupachika flash je ndio mojawapo ya matumizi yake na je sehemu hiyo nawezaje kuitumia pia kwa moderm...msaada wajuzi mwenye anafahamu atusaidie kwa hilo
Thnx

kwanza unalo hilo update file? kama unalo dikoda nyingi zina option ya UPDATE SOFTWARE FROM USB, weka hilo file kwenye flash tupu, chomeka flash kwenye dikoda --> nenda setting--> update from usb. Au chomeka flash kwenye dikoda halafu restart dikoda.

Sijui namna ya ku-Update kwa kutumia modem.
 
ymollel asante ila shida hiyo option ya update from USB sijaiona hapa kwangu
 
...
tupia basi aina ya kisimbusi na nia za ku update...
...
Receiver ni Tiger T245+ pro nia hasa ya kuupdate kuna channels hata nikiingiza updated keys sizipati katika pekuapekua ndio nikakutana na ushauri huo kwamba nikiupdate software zitakubali
 
Back
Top Bottom