Njunwa Wamavoko
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 5,757
- 2,388
wewe ndo unaleta Ligi kwenye forum sasa.Wengi wanajifanya kuijua hiyo deep web ili nao wajioneshe wanajua mambo...
kwenye forums watu wana share wanachojua and its Ok kumkosoa mtu kwa kumpa faida juu ya hoja zako!
In that way unapanua wigo wa kile kidogo ulichokua unajua
Tofauti na hapo sijaona umuhimu wa comment yako zaidi ya dhiaka na kuona kile ulichonacho ambacho utaki kutoa ni bora zaidi!