Msaada Jamaniii!!!!

Msaada Jamaniii!!!!

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
21,367
Reaction score
27,771
Demu wangu kaamua kuniumiza, kanipigia simu nimfuate maeneo flani hapa katikati ya Jiji kufika tu namkuta na njemba, kanitambulisha kwamba alisoma na huyo jamaa sekondari ila wamekutana ghafla, kilichonitia shaka ni kwamba jamaa alipokuwa anataka kuondoka alimpiga demu wangu busu zito hali iliyonipa wasiwasi kwamba naibiwa mwenzenu!! Demu sijataka kumuuliza neno lolote nimeamua kunyamaza mwenzenu,. Nisaidieni yasije yakawa kama ya bushoke!!
 
Na wewe alikutambulishaje kwa huyo jamaa? hapo ndio penye msingi wa ushauri gani upewe.
 
Demu wako anadharau kaja kukuonjesha jamaa aliyemtoa bikra pole sana ila ujifunze kwamba akili za mwanamke ni mbovu sanaaaaaa
 
hajanitambulisha, alivyomtambulisha tu kwangu jamaa aliaga na kusema kuna mahali anawahi hivyo asingeweza kuendelea na mazungumzo, akamwambia demu wangu watawasiliana!!
 
mmh....kuna walakini hapo sasa. Fanya uchunguzi taratibu utabaini mbivu na mbichi.
 
hajanitambulisha, alivyomtambulisha tu kwangu jamaa aliaga na kusema kuna mahali anawahi hivyo asingeweza kuendelea na mazungumzo, akamwambia demu wangu watawasiliana!!

Dah! maskini watu wameshapanda dau
 
Na wewe tafuta demu wako wa zamani umtambulishe halafu unampiga kibuti kimya kimya.....
 
ha ha ha wakubwa wanajibinyia kizenji bonyeeeeeeeeeeeeeeeee
 
hof zako zinakuua : We umeambiwa wamekutana ghafla hapo, kinachokufanya usiamin n nin?
 
Demu wangu kaamua kuniumiza, kanipigia simu nimfuate maeneo flani hapa katikati ya Jiji kufika tu namkuta na njemba, kanitambulisha kwamba alisoma na
huyo jamaa sekondari ila wamekutana ghafla, kilichonitia shaka ni kwamba jamaa alipokuwa anataka kuondoka alimpiga demu wangu busu zito hali iliyonipa wasiwasi kwamba naibiwa mwenzenu!! Demu sijataka kumuuliza neno lolote nimeamua kunyamaza mwenzenu,. Nisaidieni yasije yakawa kama ya bushoke!!

Pole mkaka,
Alichokifanya dem wako ni dharau za hali ya juu..michezo ya namna hii mara nying wasichana wanapenda sana kuicheza..
Na huwa wanawachezea wapenz wao ambao ni zugazuga time..
Yaani ile yupo kwako kwasbb ya kitu fulan au mastress yake ndio yamemfanya awe na ww..
Huyo jamaa uliyemkuta naye ni jamaa yake na bado wanamegana kisela, ingawa huyo jamaa anajua dem ana mshkaj mwingine ambaye ni ww..

Kwhy hapo ulipowakuta walikitana kwaajil ya mazungumzo yao, bahat mbaya ulifika kabla ya mshkaj kuagana na dem wako..

Yote kwa yote piga moyo konde jikaze kiume usimuulize..ningependa ufanye revenge ili ajue ulikisikiaje..
Kama ukipenda kulipa kisasi niPm
 
kulingana na maelezo yako, hakuna kitu hapo mkuu huyo mwanamke inaonekana anakudharau sana
 
Pole mkaka,
Alichokifanya dem wako ni dharau za hali ya juu..michezo ya namna hii mara nying wasichana wanapenda sana kuicheza..
Na huwa wanawachezea wapenz wao ambao ni zugazuga time..
Yaani ile yupo kwako kwasbb ya kitu fulan au mastress yake ndio yamemfanya awe na ww..
Huyo jamaa uliyemkuta naye ni jamaa yake na bado wanamegana kisela, ingawa huyo jamaa anajua dem ana mshkaj mwingine ambaye ni ww..

Kwhy hapo ulipowakuta walikitana kwaajil ya mazungumzo yao, bahat mbaya ulifika kabla ya mshkaj kuagana na dem wako..

Yote kwa yote piga moyo konde jikaze kiume usimuulize..ningependa ufanye revenge ili ajue ulikisikiaje..
Kama ukipenda kulipa kisasi niPm

Nitakutafuta mkuu,.
 
aisee we unahali ngumu demu akuheshimu huyo angalia mwelekeo.
 
nashukuruni kwa ushauri mlionipatia ndugu yenu, nitaufanyia kazi!!
 
Demu wako akutaki tena na ameamua kukwambia indirect. Alafu kumwita demu mpenzi wako inadhilihisha kuwa wewe pia huna malengo nae kwa heshima hiyo ulimpa ya kumwita demu.

Pili ujasiri alio onesha huyo rafiki yake wa zamani ( old is gold ) kukubali kutambulishwa kwako na kumpiga busu mbele yako ni wazi jamaa ameisha jijengea imani ya demu wako kuto kuwa muaminifu na siku za usoni huyo jamaa atakufanyia revenge kwahuyo mwanamke kupitia demu mwingine kama mnavyo waita wapenzi wenu.

Kwasasa tafuta mtu mwingine ambaye atakuwa ana kuheshimu. Hao wa wili achana nao wata lipizana kisasi wao kwa wao kwa walicho kutendea pia hata huki amua kuendelea nae hauto mpende kwa dhati kama before kwani tayari moyo wako unajeraha na akili yako imeisha jenga kumchukia na kuto muamini. Huyo mpenzi wako atakuwa hata akipigiwa simu na kaka yake na ukasikia sauti ya kiume kamoyo kata kuwa kana kuumaaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom