TEMBO WANGU
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 930
- 1,297
Wakuu habari,
Msishangae mbona asubuhi sana, jamaa anaandika uzi wa mapenzi? Ni kwamba usiku sijalala kutokana na kuwaza sana hili tukio. Ni kwamba ninampenzi wangu nipo naye kwenye mahusiano kama miezi mitatu sasa, mwezi iliyopita alikuja geto, kama unavyojua tena, nikaomba papuchi, mtoto akasema niko kwenye siku za hatari.
So kuwa makini, alinitaarifu mapema sana, nikapewa papuchi, nikagegeda bao tatu, sasa bao mbili nikatumia kinga, na bao la tatu, sikutumia kinga? Kwa hiyo lile bao la tatu, nikamwaga kwenye papuchi, sasa binti analalamika kuwa haoni siku zake mwezi huu, na anasema sio kawaida yake.
Mashaka yangu je bao la tatu, huwa nidhaifu sana, je linaweza kuleta ujauzito? Au ndio naingizwa mjini hapa? Au ndio nategwa ili nitoe pesa ya bure, maana huyu binti bado anasoma chuo fulani hapa dar, naombeni ushauri wadau nifanyeje hapa?
Msishangae mbona asubuhi sana, jamaa anaandika uzi wa mapenzi? Ni kwamba usiku sijalala kutokana na kuwaza sana hili tukio. Ni kwamba ninampenzi wangu nipo naye kwenye mahusiano kama miezi mitatu sasa, mwezi iliyopita alikuja geto, kama unavyojua tena, nikaomba papuchi, mtoto akasema niko kwenye siku za hatari.
So kuwa makini, alinitaarifu mapema sana, nikapewa papuchi, nikagegeda bao tatu, sasa bao mbili nikatumia kinga, na bao la tatu, sikutumia kinga? Kwa hiyo lile bao la tatu, nikamwaga kwenye papuchi, sasa binti analalamika kuwa haoni siku zake mwezi huu, na anasema sio kawaida yake.
Mashaka yangu je bao la tatu, huwa nidhaifu sana, je linaweza kuleta ujauzito? Au ndio naingizwa mjini hapa? Au ndio nategwa ili nitoe pesa ya bure, maana huyu binti bado anasoma chuo fulani hapa dar, naombeni ushauri wadau nifanyeje hapa?