ngosha2011
JF-Expert Member
- Aug 20, 2011
- 681
- 87
Kuna rafiki yangu kapata kazi mwaka huu mwezi wa pili serikalini,na barua ya ajira anayo,alikuwa anaomba mkopo benk ya nmb akajaza form na kuweka viambatanisho vyote vinavyotakiwa na benk,ishu ikaja kwenye kupata sahihi huko halimashauri,DT amesaini ,mkubwa wake wa idara amesaini,bado sahihi moja ya mkurugenzi wamemzungusha kama mwezi hivi,bila kusainiwa huku akipewa majibu ya kuwa unaruhusiwa kupata mkopo mpaka ifike mwezi kama ule uliyo ajiriwa,mwenye kujua ukweli wa hili! Maana anaona kuna kila dalili za rushwa au ndio ndivyo ilivyo?
Nawasilisha kwa mawazo zaidi
Nawasilisha kwa mawazo zaidi