Laura Mkaju
Senior Member
- Jan 31, 2011
- 194
- 40
Mwenzenu jamani naomba msaada wenu wana JF, mwanangu ana KIGUGUMIZI KIKALI SANA yaani kadri siku zinavyokwenda ndio kinazidi kuongeza kasi. Naomba mnisaidie nifanyeje?? Ila tatizo hili na ujombani kwao lipo sana sasa sijui ndio amerithi ama??