Msaada jamani

Msaada jamani

TOTS SHALO

Senior Member
Joined
Sep 24, 2012
Posts
152
Reaction score
25
Naomba kuuliza flat screen aina ya bish kwamwenye uzoefu inaubora kiasi gani...
 
Aisee sijawahi isikia hiyo brand.. Ngoja waje wanayoifahamu watujulishe
 
kitu gani kinakufanya utamani kununua brand isiojulikana wakati zinazojulikana zipo?

na warranty hatoi mwenye duka, warranty inatolewa na kampuni husika, ukiona mwenye duka anakuchombeza na maneno matamu wakati hata ofisi za kampuni unayonunua hazijulikano zilipo kimbia mapema kuna utapeli.
 
Nashukulu wana jf aisee ngoja nikimbie nisije ibiwa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom