Asante sana kwa ushauri wako ndugu yanguKama uliwahi kutumia dawa you,ll have to wait a litle longer. Otherwise count from the first day you start your mp to twelve. Then mwambie jamaa mpige kazi ya uumbaji kati ya siku ya 12 mpaka 16. Kama si nguvu ya dawa utakuja kutoa majibu. Walio wengi wanafikiri siku za hatari ni two days before mp kumbe hola. Fuata ushauri nilio kupa utakufaa dada.
Hzo dawa zinachukua muda gani kuisha mkuu?Hapo yawezekana hizo dawa za kuzuia mimba ulizozitumia mwanzoni bado zinafanya kazi hadi sasa cha muhimu kaa na mumeo mueleweshane juu ya tatizo lililopo na msubiri hadi hapo dawa zitakapoisha mwilini.