Msaada jamani wa haraka

Msaada jamani wa haraka

kama ulitumia PROGESTOGEN PILLS(POP) huwa na madhara haya....
---Huwa zinapelekea yai kutoweza kuzalishwa
--na pia mda mwingine shahawa kutoweza kukifkia yai kutakana na kupunguza ute ute katka celvix ambao husaidia shahawa kuogelea
--na kama haitoshi mda mwingine hubadirisha MP yako kuwa ikibadkikabadilika hivyo ukawa unachanganya siku........
ushaur kuwa na subiraa tuuu mpaka ziishe nguvu
 
Mbona haraka namna hiyo na hayo mawazo mliyonayo pia yanachangia, miezi mitano tu mnaanza mikwaruzano ya mtoto na inaelekea mmoja wenu elimu ya uzazi hajalipata (yaani ile elementary ya kwenye biology na sayansi shule ya msingi), unajua hii ni miili na inaendeshwa na hormone mbalimbali na ndio maana unakuta mtu anakula vizuri lakini mwili unadhoofu tu yaani kila kitu kinakuwa controlled na akili na hata ufanye nini kama akili imegoma mambo hayaendi sawa, hapo kikubwa ni ku-relax tu na tusiamini sana miili yetu peke yake bali hata issue ya kisaikolojia nayo ni muhimu pia
 
Habari wana jamii forum!
Naombeni msaada wenu jamani,mim nimeolewa mwez wa pili mwaka huu na tulipanga baada ya kuoana tu tupate mtoto,tatzo linakuja yan mpaka sasa cjashika mimba na my husband always blame me for that,nilienda hospital moja kwa Siri bila mume wangu kufahamu nikaenda kupima nikaambiwa nipo fit tu na nilipomwambia mwenzangu alienda na yeye kupima wakamwambi yupo fit,sasa sielewi kwa nin sishiki mimba jaman mume wangu amekuwa ananinyanyasa cku hz wakati cna tatizo lolote!tumejaribu weeeeeee Mara nyingi kutegeshea cku za hatari bt hakuna kitu yan Jambo hlo ninaniumiza sana kwa kweli !pls naomba Kama kuna mtu anajua dawa yake aniambie au ushauri wowote tu jaman coz nipo dillemma sana!
Thank u in advice

punguzeni emotions, fanyeni kama kawaida tu! kiumbe huumbwa na Mungu, huletwa na Mungu kwa malengo yake maalum sio kwa malengo yenu ninyi! think beyond your wishes!

Take your time and learn about "rhesus factor"

Relax!
 
watoto ni zawadi katika ndoa yoyote ile, ni vizuri kushauriana na mume wako mjenge/rudisha upendo kwanza ili hata msalipo, iwe bila maumivu yoyote kwenu naamini kwa kuomba pamoja na baada ya hapo kwenda wote hospitali PAMOJA itakuwa vema zaidi... pole sana mamito
 
Dah! pole sana tatizo nyie mlipanga na mkasahau kuwa mungu ndiyo muwezeshaji hivi wakati mnapanga mlimshirikisha? au mlipanga wenyewe tu? halafu mbaya zaidi mumeo ndiyo kaanza kunywa hebu mwambie aache au apunguze mshughulikie mambo ya msingi maana ndoa siyo wewe tu hata yeye anahusika!
 
Dah! pole sana tatizo nyie mlipanga na mkasahau kuwa mungu ndiyo muwezeshaji hivi wakati mnapanga mlimshirikisha? au mlipanga wenyewe tu? halafu mbaya zaidi mumeo ndiyo kaanza kunywa hebu mwambie aache au apunguze mshughulikie mambo ya msingi maana ndoa siyo wewe tu hata yeye anahusika!
Asante sana ndugu
 
hicho kiwewe ndicho kinawafanya mshindwe...

guys relax......
 
Ndoa mwezi wa pili mwezi wa saba mmeshaanza kugombana kuhusu kutoshika ujauzito!!!!! Dah! Hebu mwambie mumeo aache kiherehere vinginevyo mtaharibu ndoa yenu bure.
 
Mbona ni mapema sana kuanza kulaumiana aisee
Nendeni wote kwa mtaalam wa akina mama mpimwe na kupewa ushauri mkiwa pamoja.Naamini hiyo itapunguza stress za kupata mimba
Hapo inawezekana hiyo stress ndio inawazuia kushika mimba
Fanyeni kwa ku relax na mapenzi aisee
 
Mbona ni mapema sana kuanza kulaumiana aisee
Nendeni wote kwa mtaalam wa akina mama mpimwe na kupewa ushauri mkiwa pamoja.Naamini hiyo itapunguza stress za kupata mimba
Hapo inawezekana hiyo stress ndio inawazuia kushika mamba
Fanyeni kwa ku relax na mapenzi aisee

Kweli mkuu mwenzangu anaharaka sana jamani
Bt
Nashukuru kwa ushauri wako
 
Kama uliwahi kutumia dawa you,ll have to wait a litle longer. Otherwise count from the first day you start your mp to twelve. Then mwambie jamaa mpige kazi ya uumbaji kati ya siku ya 12 mpaka 16. Kama si nguvu ya dawa utakuja kutoa majibu. Walio wengi wanafikiri siku za hatari ni two days before mp kumbe hola. Fuata ushauri nilio kupa utakufaa dada.
 
Nendeni wote hospital kwa Obs&Gyn specialist mueleze kila kitu bila kuficha, na kama hakutakuwa na wasi kuhus matumizi ya Depo provera then kuangalia kama kuna tatizo kwa me au ke na mara nyingi ni veme ku exclude male problems by doing sperm analysis na kama me atakuwa fit then you need to go thorough check in. Your reproductive system. I can't give you details here because of med ethics. Pole, but will sort out ukiwaona wataalam sahihi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom