Peace92
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 261
- 57
Habari wana jamii forum!
Naombeni msaada wenu jamani,mim nimeolewa mwez wa pili mwaka huu na tulipanga baada ya kuoana tu tupate mtoto,tatzo linakuja yan mpaka sasa cjashika mimba na my husband always blame me for that,nilienda hospital moja kwa Siri bila mume wangu kufahamu nikaenda kupima nikaambiwa nipo fit tu na nilipomwambia mwenzangu alienda na yeye kupima wakamwambi yupo fit,sasa sielewi kwa nin sishiki mimba jaman mume wangu amekuwa ananinyanyasa cku hz wakati cna tatizo lolote!tumejaribu weeeeeee Mara nyingi kutegeshea cku za hatari bt hakuna kitu yan Jambo hlo ninaniumiza sana kwa kweli !pls naomba Kama kuna mtu anajua dawa yake aniambie au ushauri wowote tu jaman coz nipo dillemma sana!
Thank u in advice
Naombeni msaada wenu jamani,mim nimeolewa mwez wa pili mwaka huu na tulipanga baada ya kuoana tu tupate mtoto,tatzo linakuja yan mpaka sasa cjashika mimba na my husband always blame me for that,nilienda hospital moja kwa Siri bila mume wangu kufahamu nikaenda kupima nikaambiwa nipo fit tu na nilipomwambia mwenzangu alienda na yeye kupima wakamwambi yupo fit,sasa sielewi kwa nin sishiki mimba jaman mume wangu amekuwa ananinyanyasa cku hz wakati cna tatizo lolote!tumejaribu weeeeeee Mara nyingi kutegeshea cku za hatari bt hakuna kitu yan Jambo hlo ninaniumiza sana kwa kweli !pls naomba Kama kuna mtu anajua dawa yake aniambie au ushauri wowote tu jaman coz nipo dillemma sana!
Thank u in advice