Mastamind
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 1,316
- 840
Yule Mke wangu aliyenitoroka miezi miwili sasa bila kwao wala mimi kuju aliko, majuzi nilipiga simu kwa mama yake mdogo kutaka kujua kama walishampata, bahati mbaya kwangu alipopokea alinipa habari mbaya kwangu za kuwa tayari ameshachumbiwa, sikuwa na maelezo zaidi ya kukata simu na kumpigia mama yake mzazi kuthibitisha hilo, cha ajabu mama yake hakupokea licha ya kupiga zaidi ya mara moja kitendo ambacho haikua kawaida yake, baada ya hapo jibu likaja anaogopa kuthibitisha hilo nikaamua kuanza kuzifuta namba zote za ndugu yake pamoja na wazazi wake, hapo sasa nikaanza kujikita vilivyo kwenye penzi jipya la mwalimu ambaye anajua maisha ni nini ambaye tuko mikoa tofauti ila tushado sana pasaka alikuja mwenywe nikajiridhisha niya yake thabiti ya kuishi nami.
Sasa juzi nimekua nikipata simu mpya ambayo sikuifahamu ni nani sana zaidi anajitambulisha kwa jina la G ambaye anasema anaebipu kwa simu yake ni yule mke wangu aliyetoroka leo wamenitumia sms wakanambia niwapigie, kuongea naye anadai yuko Mara alipelekwa na mama mdogo wake, kumuuliza kwa nini simu zake kaziacha kwao Mwz anasema mama yake alimnyang'anya bila sababu, nikamuuliza anataka nini sasa kunibip hajibu, nikamueleza kua nimeambiwa ashachumbiwa na ni mke wa mtu sasa ila amekataa katu.
akaniuliza niko wapi nikamjibu Dar nafanya interview alizoniacha nimeombea kazi, Baada ya hapo tukaagana ila ikanigusa sana ikabidi niitafute sana namba ya maza wake nimtege nae nione majibu yake, bahati nilimpata akanijibu kweli binti yake kachumbiwa na yuko Arusha tofauti nawanae alivyonambia
1.Sasa wajameni nashindwa kuelewa huyu mwanamke anataka nini tena kwangu?
2.Nani muongo kati ya mama vs mwanae?
3.Nina mke mpya mwenye kazi na nia ya maisha na habari yakutorokwa na mke huyo anayo na anawacwac nae mkubwa, Sasa hapa nilikua nawaza aweke profile picha yetu mimi na yeye FB ili yule aliyetoroka akiona asinisumbue licha ya kumpenda sana mpaka sasa sijaona mbadala kwa kweli, she is so beautiful in nature
WAUNGWANA MNISAIDIE,!!
Sasa juzi nimekua nikipata simu mpya ambayo sikuifahamu ni nani sana zaidi anajitambulisha kwa jina la G ambaye anasema anaebipu kwa simu yake ni yule mke wangu aliyetoroka leo wamenitumia sms wakanambia niwapigie, kuongea naye anadai yuko Mara alipelekwa na mama mdogo wake, kumuuliza kwa nini simu zake kaziacha kwao Mwz anasema mama yake alimnyang'anya bila sababu, nikamuuliza anataka nini sasa kunibip hajibu, nikamueleza kua nimeambiwa ashachumbiwa na ni mke wa mtu sasa ila amekataa katu.
akaniuliza niko wapi nikamjibu Dar nafanya interview alizoniacha nimeombea kazi, Baada ya hapo tukaagana ila ikanigusa sana ikabidi niitafute sana namba ya maza wake nimtege nae nione majibu yake, bahati nilimpata akanijibu kweli binti yake kachumbiwa na yuko Arusha tofauti nawanae alivyonambia
1.Sasa wajameni nashindwa kuelewa huyu mwanamke anataka nini tena kwangu?
2.Nani muongo kati ya mama vs mwanae?
3.Nina mke mpya mwenye kazi na nia ya maisha na habari yakutorokwa na mke huyo anayo na anawacwac nae mkubwa, Sasa hapa nilikua nawaza aweke profile picha yetu mimi na yeye FB ili yule aliyetoroka akiona asinisumbue licha ya kumpenda sana mpaka sasa sijaona mbadala kwa kweli, she is so beautiful in nature
WAUNGWANA MNISAIDIE,!!