Msaada jamani njia panda hapa

Msaada jamani njia panda hapa

Unajua maana ya mke?

Wewe magirlfriend unaita mke?

Halafu hata weee hukutulia ndo maana ukawa na mwl ambaye mshagalagazana sana tu

Kiufupi wewe wanawake zako na wakwe zako hamjielewi
 
Huyo wa zamani hana msimamo na ndugu zake hawakutaki!!! Huyo mwalimu atakufaa kitu na box
 
Na wewe huiumpenda huyo mwanamke, ndio maana umekimbilia kuoa nyumba ndogo yako faster. Kwa maana nyingine, tayari ulikuwa na mwanamke unayempenda zaidi ya mkeo.
 
Maamuzi yapo kichwani mwako kama unampenda msamehe kutoroka kitu gani, wengine wanatorokwa baadae wanakutana mwanamke ana mtoto wa mwanaume mwingine lakini wanasamehe wanarudiana na maisha yanasonga. Moyo wako unaonesha unampenda sana hivyo ukichukua mrembo mpya utajiumiza moyo zaidi kuliko ukimrudia huyo alietoroka. Cha msingi hapo kupima HIV.
 
Hakunagga replacement ya mpenzi jamani,, wa zamani ni mkali na ana haiba ya uanamke sana,, kila m1 humu akimuona lazima acmamishe mnara hata km dem mwenzie, nilikua najidaia sn asee

Usitupotezee muda mkuu. Kumbe unamatatizo ya akili wewe..
Charity, inaelekea kuwa huyu nyuma kwake kunakalika, mbele ndio kunamatatizo!
 
Last edited by a moderator:
we unataka nini kwa huyo mwanamke na tayari una mwalimu anayejua maisha?
 
Hakunagga replacement ya mpenzi jamani,, wa zamani ni mkali na ana haiba ya uanamke sana,, kila m1 humu akimuona lazima acmamishe mnara hata km dem mwenzie, nilikua najidaia sn asee

dunia haiishi maajabu kwa kweli!
 
unajitahid kutokuelewa wakati hsli halisi unaiona kama familua yenyewe ipo hivyo akikuudhi utamshtaki kwa nan?huyo mwanamke anashida hutakaa uendelee ukimuendekeza
 
Maamuzi yapo kichwani mwako kama unampenda msamehe kutoroka kitu gani, wengine wanatorokwa baadae wanakutana mwanamke ana mtoto wa mwanaume mwingine lakini wanasamehe wanarudiana na maisha yanasonga. Moyo wako unaonesha unampenda sana hivyo ukichukua mrembo mpya utajiumiza moyo zaidi kuliko ukimrudia huyo alietoroka. Cha msingi hapo kupima HIV.

WATU WAZIMA WACHACHE SANA HUMU NDANI, Umenisoma sana Mtu mzima
 
<ul><li style=""><span style="font-family: comic sans ms"><em><strong>LOV Z Blind Msemo na Mie Naamini</strong></em>,,</span></li>
</ul>
 
Mwalimu alikuja baada ya kutendwa jamani kupitia Zaburi 27.<br>alikuja km miujiza hadi nikaogopa nikajua katumwa kunichunguza na kuijia vitu na nguo za aliyentoroka bt nkaproove failure
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom