Msaada jamani napotea mimi

The Chosen One

JF-Expert Member
May 24, 2017
3,577
17,003
Natumai uzima upo Wakuu naombeni msaada nifanyeje niweze kuachana na huu mchezo wa betting mana nishakuwa adicted natafuta pesa kwa nguvu ila inaishia huko kwnye betting company hata nile kiasi gan cha pesa bado nawarudishia taratibu naombeni ushauri nifanyaje kuachana na mchezo huu
 
Nlishawaambia huu mchezo upo connected na nguvu za Giza hamuamin jamaa yng hapa alikula million tisa akaacha shule, akafungua biashara mwez mmoja tuu akafilisika, akaanza kuchonga viaz kwenye mabanda ya chips, ameapa hata rudia tenaaaa kubett alikua aingie form six anajutaaaa
 
Kamar INA ibilis mbaya sana raha ya kamali n kushika pesa na mcheza kamali hajui thaman ya pesa hata kidigo huwa na daharau na shilng hta awe na million ana aamini hiyo hela inaweAza potea kama upepo na anaweza kuwa tajir ghafla pia akiwa na shs 1000 tu unaposhinda katika kamali almost nusu ya pesa huisha kimiujiza yaan matumiz ambayo haya wewe uloshinda huyaelew na ukipunwa hujikuta huna lankufanya zaid ya kuanza kuipigia hesab pesa ilopotea
Mcheza kamali hqna mafanikio hata awe anapuna kila siku million ya mchez kamali ni sasa na shilling elfu kumi ya mbeba zege katika matumiz

Ukitaka kuacha kamali
Hakikisha hutembei na hela haya sent hii itakusaidia hata pale ukitaka kucheza ukose pesa ya kuchezea
Hakikisha hukai maeneo Karin na kamali kwan ushaish unaanzia hapo
Badilisha aina ya marafiki kama kazin au hata unaosociolize nao kitaa
Tafuta hobby engine itakayo kufanya uwe bize kipind ambacho utajisikia hamu ya kucheza kamali
Au mrudie mungu wako kwan yeye ndie muweza maana mungu Wa kamali ananguvu kuna watu wameuza nyumba viwanja mashamba na sasa hawana walichonacho zaid ya miili ambayo kama wangepata Mteja wangeuza wakachezee kamali
 
Tukiwaambia tafuteni kazi mufanye ile sio kazi munatukana, haya sasa ngoja waeje wakupe ushauri
Kaka kamali sio kaz kamali n starehe kuna wafanyakaz wanacheza kamali na wanapoteza pesa nying na za ingine wankipato za y hiko cha kwako ukisikia mtu amekua adikted na kamali anachohitaj n counseling hana linguine maana n matatizo kama uteja wa madawa na ikibd apelekwe haya sober
 
Kaka kamali sio kaz kamali n starehe kuna wafanyakaz wanacheza kamali na wanapoteza pesa nying na za ingine wankipato za y hiko cha kwako ukisikia mtu amekua adikted na kamali anachohitaj n counseling hana linguine maana n matatizo kama uteja wa madawa na ikibd apelekwe haya sober
Wao wanafanya ajira sasa
 
usiaaache kubet we...utapishanaa na helaaa
Screenshot_2017-05-26-02-40-20.png
chukuaaa sure iyooo ya kesho
 
Swali: Ufanyeje ili uweze kuacha?

Jibu: 1. Dhamiria KUACHA kwa ridhaa yako mwenyewe na huku ukijiepusha na marafiki, shughuli na vyovyote vinavyohusiana na huo mchezo hata ushauri usitoe kwa mtu yeyote.

2. Jiambie kwamba unaweza hasa kwa kujikita katika shughuli zingine na hasa za kijamii, mazoezi au kujitolea huku ukijiepusha na matumizi mabaya ya fedha ya thamani yeyote ile na kama ni ngumu basi hakikisha unaandika matumizi ya fedha zako zote za kila siku hata iwe Tshs. 1 kwenye kijitabu kidogo kwa ajili ya kumbukumbu na hutajutia, sababu utajionea aibu na huruma pia.

3. Fanya Kazi, Fanya Kazi na mwishowe Uchape Kazi kwa Nguvu zote.(Kinachoingia kwa Jasho, Kitatoka kwa Jasho)

JITAHIDI UNAWEZA.
 
Ukitaka kuacha kamali
Hakikisha hutembei na hela haya sent hii itakusaidia hata pale ukitaka kucheza ukose pesa ya kuchezea
Hakikisha hukai maeneo Karin na kamali kwan ushaish unaanzia hapo
Badilisha aina ya marafiki kama kazin au hata unaosociolize nao kitaa
Tafuta hobby engine itakayo kufanya uwe bize kipind ambacho utajisikia hamu ya kucheza kamali
Au mrudie mungu wako
Asante sanaa mkuu nafanyia kazi
 
Swali: Ufanyeje ili uweze kuacha?

Jibu: 1. Dhamiria KUACHA kwa ridhaa yako mwenyewe na huku ukijiepusha na marafiki, shughuli na vyovyote vinavyohusiana na huo mchezo hata ushauri usitoe kwa mtu yeyote.

2. Jiambie kwamba unaweza hasa kwa kujikita katika shughuli zingine na hasa za kijamii, mazoezi au kujitolea huku ukijiepusha na matumizi mabaya ya fedha ya thamani yeyote ile na kama ni ngumu basi hakikisha unaandika matumizi ya fedha zako zote za kila siku hata iwe Tshs. 1 kwenye kijitabu kidogo kwa ajili ya kumbukumbu na hutajutia, sababu utajionea aibu na huruma pia.

3. Fanya Kazi, Fanya Kazi na mwishowe Uchape Kazi kwa Nguvu zote.(Kinachoingia kwa Jasho, Kitatoka kwa Jasho)

JITAHIDI UNAWEZA.
Asante mkuu ushauri mzuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom