pclarence60 Member Jan 17, 2012 15 1 Jan 1, 2014 #1 Naomba kwa mwenyetaarifa zozote juu ya ajira za kilimo, itafanyika interview au watapanga tu mojakwa moja na je wanaweza wakaita watu kuanzia lini?
Naomba kwa mwenyetaarifa zozote juu ya ajira za kilimo, itafanyika interview au watapanga tu mojakwa moja na je wanaweza wakaita watu kuanzia lini?
squareroot Senior Member Feb 8, 2013 118 24 Jan 1, 2014 #3 Inavyoonyesha hakutakuwa na interview ni kupangwa tu lakini wadau watakuja kutujuza hata mm nina kiu ya kujua.
Inavyoonyesha hakutakuwa na interview ni kupangwa tu lakini wadau watakuja kutujuza hata mm nina kiu ya kujua.
the horticulturist JF-Expert Member Aug 24, 2012 1,959 1,894 Jan 1, 2014 #4 hata mm nawasubir watupe habari
M mwitu JF-Expert Member Jun 22, 2012 856 200 Jan 1, 2014 #5 kwa jinsi nilivyosoma tangazo inaonekana hakuna interview ni kupangiwa tu. Kwa mujibu wa jamaa 1 tangazo lilikuwa limekosewa maana kulikuwa na nafasi pia za certificate ambazo zilikuwa ni nyingi kuliko diploma. Ila sijui kama ni kweli
kwa jinsi nilivyosoma tangazo inaonekana hakuna interview ni kupangiwa tu. Kwa mujibu wa jamaa 1 tangazo lilikuwa limekosewa maana kulikuwa na nafasi pia za certificate ambazo zilikuwa ni nyingi kuliko diploma. Ila sijui kama ni kweli