kwa jinsi nilivyosoma tangazo inaonekana hakuna interview ni kupangiwa tu. Kwa mujibu wa jamaa 1 tangazo lilikuwa limekosewa maana kulikuwa na nafasi pia za certificate ambazo zilikuwa ni nyingi kuliko diploma. Ila sijui kama ni kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.