Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari wana jf.naomba kuelekezwa namna ya kuandika maombi(application) kwa email.Naombeni msaada jamani.
Hakika nawapenda sana watu kama hawa wewe una sifa zote za kuwa mwalimu kwani umeeleweka hakika asante mana cc tulijibu kwa kifupi big up!Ni rahisi sana. 1.scan vyeti vyako kisha viweke kwenye faili ndani ya compyuta"desktop" 2.Fungua e-mail kama huna. 3.kwenye e-mail nenda sehemu imeandikwa "compose" 4.pale palipoandikwa "To" weka e-mail ya unaemtumia barua 5.pale palipoandikwa "subject" andika neno Job application 6.pale kwenye ukurasa wa chini yake Andika hiyo barua yako(official latter) 7.Baada ya hapo nenda chini utaona alama ukiweka kasa yanakuja maandishi "attachment option",bonyeza hapo 8.utakuja ukurasa wa kukuonyesha uchague faili ambalo lina vyeti vyako,bonyeza desktop,kisha yatakuja mafaili ya kwenye desktop,fungua faili lenye vyeti kisha vita upload chini ya hiyo barua yako. 9.bonyeza "send" baada ya vyeti vyote kuja hapo chini ya barua.
Ni rahisi sana.
1.scan vyeti vyako kisha viweke kwenye faili ndani ya compyuta"desktop"
2.Fungua e-mail kama huna.
3.kwenye e-mail nenda sehemu imeandikwa "compose"
4.pale palipoandikwa "To" weka e-mail ya unaemtumia barua
5.pale palipoandikwa "subject" andika neno Job application
6.pale kwenye ukurasa wa chini yake Andika hiyo barua yako(official latter)
7.Baada ya hapo nenda chini utaona alama ukiweka kasa yanakuja maandishi "attachment option",bonyeza hapo
8.utakuja ukurasa wa kukuonyesha uchague faili ambalo lina vyeti vyako,bonyeza desktop,kisha yatakuja mafaili ya kwenye desktop,fungua faili lenye vyeti kisha vita upload chini ya hiyo barua yako.
9.bonyeza "send" baada ya vyeti vyote kuja hapo chini ya barua.
Hakika nawapenda sana watu kama hawa wewe una sifa zote za kuwa mwalimu kwani umeeleweka hakika asante mana cc tulijibu kwa kifupi big up!
Ni rahisi sana.
1.scan vyeti vyako kisha viweke kwenye faili ndani ya compyuta"desktop"
2.Fungua e-mail kama huna.
3.kwenye e-mail nenda sehemu imeandikwa "compose"
4.pale palipoandikwa "To" weka e-mail ya unaemtumia barua
5.pale palipoandikwa "subject" andika neno Job application
6.pale kwenye ukurasa wa chini yake Andika hiyo barua yako(official latter)
7.Baada ya hapo nenda chini utaona alama ukiweka kasa yanakuja maandishi "attachment option",bonyeza hapo
8.utakuja ukurasa wa kukuonyesha uchague faili ambalo lina vyeti vyako,bonyeza desktop,kisha yatakuja mafaili ya kwenye desktop,fungua faili lenye vyeti kisha vita upload chini ya hiyo barua yako.
9.bonyeza "send" baada ya vyeti vyote kuja hapo chini ya barua.
mkuu kuhusu kutoandika anwani ni sahihi kwel??Vile vile unavoomba kwa barua za kawaida.
Kwenye email yenyewe andika kama cover letter unataka nini na kwanini wewe ndo unafaa kwa kazi hiyo, tofauti ni kuwa hakuna haja ya kuandika zile anwani yako/yao kama unavoandikaga kwenye karatasi.
Weka subject line inayoelezea email inahusu kazi ipi.
Then attach CV yako kama file, nashauri utumie PDF format, hakuna haja ya kuattach vitu vingine kama cheti etc unless wameviomba.
Good luck.