Mimi naingiza watu freemason......nitafute....
Usitafte laana ya kujitakia mkuu.Bora ujifanye haujui kuliko waanze kama asingekuwa yule?AU ni wewe mwenyewe kamanda?Achana na upuuzi huo mkuu.Bora ufe ukiwa maskn.
Jamani wanajamvi naomba msaada jinsi ya kujiunga na freemason kwani marafiki zangu wengi wamekuwa wakinifuata niwaelekeze jinsi ya kupata namba za freemason na kujiunga na freemason kwani mimi niko maeneo ya vijijini ila ninasoma chuo hivyo wanajua kuwa mimi najua hiyo mambo kwani natoka mjini hivyo anayejua naomba anisaidie jamani
Kuna njia moja tu ya kumfikia Yehova, nayo ni Yesu Kristo (Iesus kristus). Hata ukipewa dunia nzima na mali zote zilizomo bila Yesu ni bure!! ni kujilisha upepo. Yesu ni kila kitu.
Jamani wanajamvi naomba msaada jinsi ya kujiunga na freemason kwani marafiki zangu wengi wamekuwa wakinifuata niwaelekeze jinsi ya kupata namba za freemason na kujiunga na freemason kwani mimi niko maeneo ya vijijini ila ninasoma chuo hivyo wanajua kuwa mimi najua hiyo mambo kwani natoka mjini hivyo anayejua naomba anisaidie jamani