Msaada jamani: je ni sawa?

Msaada jamani: je ni sawa?

Bangoo

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2011
Posts
5,597
Reaction score
1,016
Mimi nina mke na mtoto mmoja, kwa bahati mbaya mke wangu anaishi mbali na mimi mikoa tofauti, tunaishi hivyo kwa kuwa yeye ni mwajiriwa wa serikali na mimi ni mfanyabiashara.

Hivyo bado hajapata uhamisho wa kunifata mimi. Tumefunga ndoa na ndoa yetu ina mwaka na miezi 6 huwa tunatembeleana kila panapopatikana nafasi.

Lakini cha kushangaza ni kwamba ninapomtembelea mke wangu huyo huwa hapendi kabisa kutembea na mimi! Kwa mfano siku za jumapili ukimwambia twende kanisani haendi.

Lakini nikiwa sipo anaenda ukimuuliza hana sababu. Hata pengine anaenda sehemu hawezi kamwe kukubali muende pamoja, katika mazungumzo yetu sametime ananiambia sijui kusalimia, mara hawezi kwenda na mimi popote! Tena anaapia! Kwa kweli kimshiko mimi kabla ya kufunga nae ndoa nilikuwa vizuri kwani hata nnyumba nimejenga, lakini kutokana na mambo fulani biashara imekata sana, hivyo sametime hunipiga tafu hasa upande wa familia.

TATIZO LINGINE ALILONALO NI MTU ANAENUNA KWA JAMBO DOGO SANA! Tukiwa pamoja haipiti siku 3 utamkuta kanuna kwa kitu cha kijinga tu..! Ila hakuwa hivyo awali.

NIKO KWENYE MAJUTO NAOBENI MSAADA WA MAWAZO NINI CHANZO! Kumpenda nampenda kupitiliza ila tatizo ni hayo. KABLA YA NDOA ALITAMBUA MIMI KUWA NA MTOTO MMOJA WA NJE YA NDOA LAKINI ALIAHIDI KUMPENDA. Cha kushangaza aliniambia bila chenga kwamba mwanao simpendi wala sitaishi nae kamwe.

HAMFAHAMU WALA HAJAWAHI KUMUONA, NA AMEKUWA AKIYATAMKA MANENO HAYO SIKU ZA HIVI KARIBUNI.
 
Pole sana atakuwa na stress kwanini hataki kutembea na wewe atakuwa na mchepuke huyo na kama umefulia ni shda
 
Kama kusoma hujui, hata picha huoni? Unasaidiwa mkuu....amka kuwa mkali kama mywa viroba halafu mshtukize siku unaenda kwake, uendage usiku halafu umekunja ndita balaa hutaki utani. Sema umefulia ndo bahati mbaya. Pole mpwa
 
Mwanamke akianza kukusaliti, hayo unayoyaona/anayokufanyia ni kiashiria nö 1 kwamba ananyumba ndogo na tayari imeshaanza kumchanganya!

Nb: Sometimes yanaweza kutokea hayo bila ya yeye kukusaliti!

May be ameshajipakazia kwamba anabonge la bwana! Kitendo cha wewe kuongozana naye huenda akaproviwa wrong na hao mashoga zake hasa ukiangalia mwonekano wako!

Suala la yeye kukupiga taff kimaisha haimzuii yeye kukusaliti!

My take:
Chunguza zaidi kabla ya kuchukua maamuzi ambayo unaweza kuyajutia baadae!

Na jee mlidumu muda gani kabla ya ndoa? In other words: Ulikitumia vipi kile kipindi cha shake before use?
 
Kama kusoma hujui, hata picha huoni? Unasaidiwa mkuu....amka kuwa mkali kama mywa viroba halafu mshtukize siku unaenda kwake, uendage usiku halafu umekunja ndita balaa hutaki utani. Sema umefulia ndo bahati mbaya. Pole mpwa

kuyumba kibiashara mkuu ni jambo la kawaida kwa mfanya biashara... Ndiyo maana mkuu nimeomba ushauri
 
Mwanamke akianza kukusaliti, hayo unayoyaona/anayokufanyia ni kiashiria n0‹2 1 kwamba ananyumba ndogo na tayari imeshaanza kumchanganya!

Nb: Sometimes yanaweza kutokea hayo bila ya yeye kukusaliti!

May be ameshajipakazia kwamba anabonge la bwana! Kitendo cha wewe kuongozana naye huenda akaproviwa wrong na hao mashoga zake hasa ukiangalia mwonekano wako!

Suala la yeye kukupiga taff kimaisha haimzuii yeye kukusaliti!

My take:
Chunguza zaidi kabla ya kuchukua maamuzi ambayo unaweza kuyajutia baadae!

Na jee mlidumu muda gani kabla ya ndoa? In other words: Ulikitumia vipi kile kipindi cha shake before use?

uhusiano wetu ulidumu kama miaka mi 3 kabla ya ndoa... Na ulkuwa nimzuri sana ndg..
 
uhusiano wetu ulidumu kama miaka mi 3 kabla ya ndoa... Na ulkuwa nimzuri sana ndg..

Na jee uligundua anapenda sifa za kijinga? = jee anapenda kujiproud?

Jee alipenda kuwasengenya watu kwa kuwaponda?
 
distance bro... distance, women hawawezi kuvumilia distance na sijui ni kwa nini, kama mkiwa mbali kwa muda na ukamkuta yuko mweupe hajaguswa basi she loves you more than you can imagine, ukikuta otherwise which is what you are experiencing then there are two things involved, its either she never loved you the way you thought she did au she loves you but she has another man and now you are back, she's confused..

I suggest ujishushe and give her some time to sort things out, huwezi jua ni nini kinamsumbua kichwani, na pengine hataki ukijue 'cause kitakukwaza, rudi enzi zile ulizokuwa unamfukuzia, muoneshe wewe ni yule yule wa zamani, potezea anayokufanyia, usilipe baya kwa baya, lipa mema.. simaanishi na yeye atakulipa mema, lakini naamini utapata kuujua ukweli kwa njia hiyo.
 
Mkuuu kaa macho ndoa yako iko njia panda hzo ni dalili za mwanamke kukuchoka cha msingi,FANYA UCHUNGUZI BILA YEYE KUJUA,NENDA MTAANI UNAPOISHI PIGA STORI NA WANA WATAKUPA UMBEA 2,PENDA KWENDA KWAKE BILA TAARIFA KWA KUSITUKIZA UCKU MIDA YA SAA 2 LAZM UTAJUA MBIVU NA MBICHI.
 
Huyo mchepuko lazma kuna mapendeshee wanamuweka mjini na hataki wakufahamu, baba ndoa ndoana kaa makin
 
Na jee uligundua anapenda sifa za kijinga? = jee anapenda kujiproud?

Jee alipenda kuwasengenya watu kwa kuwaponda?

hilo la pili naona analo kidogo..!
Tatizo yeye ni msemaji sana ili hali mie si msemaji sana
 
distance bro... distance, women hawawezi kuvumilia distance na sijui ni kwa nini, kama mkiwa mbali kwa muda na ukamkuta yuko mweupe hajaguswa basi she loves you more than you can imagine, ukikuta otherwise which is what you are experiencing then there are two things involved, its either she never loved you the way you thought she did au she loves you but she has another man and now you are back, she's confused..

I suggest ujishushe and give her some time to sort things out, huwezi jua ni nini kinamsumbua kichwani, na pengine hataki ukijue 'cause kitakukwaza, rudi enzi zile ulizokuwa unamfukuzia, muoneshe wewe ni yule yule wa zamani, potezea anayokufanyia, usilipe baya kwa baya, lipa mema.. simaanishi na yeye atakulipa mema, lakini naamini utapata kuujua ukweli kwa njia hiyo.

kuna wakati pia huniambia anajuta kuolewa!
 
distance bro... distance, women hawawezi kuvumilia distance na sijui ni kwa nini, kama mkiwa mbali kwa muda na ukamkuta yuko mweupe hajaguswa basi she loves you more than you can imagine, ukikuta otherwise which is what you are experiencing then there are two things involved, its either she never loved you the way you thought she did au she loves you but she has another man and now you are back, she's confused..

I suggest ujishushe and give her some time to sort things out, huwezi jua ni nini kinamsumbua kichwani, na pengine hataki ukijue 'cause kitakukwaza, rudi enzi zile ulizokuwa unamfukuzia, muoneshe wewe ni yule yule wa zamani, potezea anayokufanyia, usilipe baya kwa baya, lipa mema.. simaanishi na yeye atakulipa mema, lakini naamini utapata kuujua ukweli kwa njia hiyo.

kwa mfano akisafiri yeye kuja kwangu huniambia siku hiyo amechoka sana, hinvyo humwacha apumzike lakini nikisafiri mimi huwa naanza gemu siku hiyo hiyo! Lakini yeye ni no!!
 
distance bro... distance, women hawawezi kuvumilia distance na sijui ni kwa nini, kama mkiwa mbali kwa muda na ukamkuta yuko mweupe hajaguswa basi she loves you more than you can imagine, ukikuta otherwise which is what you are experiencing then there are two things involved, its either she never loved you the way you thought she did au she loves you but she has another man and now you are back, she's confused..

I suggest ujishushe and give her some time to sort things out, huwezi jua ni nini kinamsumbua kichwani, na pengine hataki ukijue 'cause kitakukwaza, rudi enzi zile ulizokuwa unamfukuzia, muoneshe wewe ni yule yule wa zamani, potezea anayokufanyia, usilipe baya kwa baya, lipa mema.. simaanishi na yeye atakulipa mema, lakini naamini utapata kuujua ukweli kwa njia hiyo.

Kuna kipindi aliniambia naomba ubadilishe muonekano wako, kwanza kwa kuacha kuvaa tshat na jins na badala yake uvae suruali za kitambaa na mashati.. Nilikubali nikaanza kushona suruali za vitambaa na mashati nikawa smati sana, hata sasa navaa sana na kuwa smati, lakini ndo hivyo hataki hataki!
 
Pengine kajisifu sana mtaani juu yako,mambo ambayo ni tofauti,kwa hiyo anaona aibu kupita na wewe mtaani,wenzake watamshushua,
chezea kujiproud wewe!?
hilo la pili naona analo kidogo..!
Tatizo yeye ni msemaji sana ili hali mie si msemaji sana
 
Back
Top Bottom