Msaada jamani JamiiForum Mobile

Msaada jamani JamiiForum Mobile

KIBURUDISHO

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2011
Posts
1,002
Reaction score
278
Wakuu mambo vp? Kuanzia leo Page ya jamii forum kwangu mimi inafunguka vibaya ni bora ile ya awali kwa sisi tunaotumia simu simu ninayotumia ni Nokia E61i ni tatizo kwa wote tunaotumia simu au ni kwangu pekeake!!!!!??
 
Wakuu mambo vp? Kuanzia leo Page ya jamii forum kwangu mimi inafunguka vibaya ni bora ile ya awali kwa sisi tunaotumia simu simu ninayotumia ni Nokia E61i ni tatizo kwa wote tunaotumia simu au ni kwangu pekeake!!!!!??

mina2mia nokia n72 bila shida.kama imekugomea chagua pc mode
 
mi nilikuwa pc mode lkn sasa imegoma why?
 
mi natumia samsung ipo poa tu mkuu labda wewe tu
 
Eleza inafunguka vibaya kivipi?
 
Back
Top Bottom