Msaada Jamani, Imekaaje Hii?

Msaada Jamani, Imekaaje Hii?

Ati ana Tigo la kutosha. Ulitumia kipimo gani weye?? Kumbuka; Akasema; Ukimwangalia mwanamke kwa jicho la tamaa tiyari umezini naye kiroho! Dah! Sasa unasema hutaki kumkosea Muumba huku ushamla tigo kiroho?? Pole sana, yaani unasikitisha sana. Mila zako na desturi zako za kuruhusu uchungulie kwa matamaa lakini usiweke dole ni mila na desturi potofu sana hizo.
Najua hukuwa na nia hiyo ya kutuambia unavyo jisikia ila ulitaka tu kuwatukana dada zetu wa kitanga kuwa; Waliwaga tigo. Sio kweli. Sio wote. Mke wangu hapendi hicho kitu na tangu tumekaa naye miaka hadi tukapata watoto 6 hajawahi kushindwa kusukuma kumtoa mtoto kwa kisingizio kuwa hana maarinda. Ndo tuseme sio mtanga?? Pole zako
 
Majibu unayo mwenyewe hakukua na sababu ya kuja kuomba ushauri huku, jambo la msingi ni kuachana na huyo Binti ujipange upya utafute mwingine.
 
Inaonekana wewe huna msimamo unakuja kuomba ushauri huku ina maana ukishauriwa ufanye kinyume na maumbile utafanya.
 
Kaa utulie kijana acha dhambi hata kuzini na mwanamke ambae siyo mke wa ndoa ni tatizo. Kama umri wako umeshafika oa utulie hizo tigo mara mapichapicha gan sijui yataondoka akilin mwako. BTW muogope Mungu tenda yanayompendeza yeye.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ati ana Tigo la kutosha. Ulitumia kipimo gani weye?? Kumbuka; Akasema; Ukimwangalia mwanamke kwa jicho la tamaa tiyari umezini naye kiroho! Dah! Sasa unasema hutaki kumkosea Muumba huku ushamla tigo kiroho?? Pole sana, yaani unasikitisha sana. Mila zako na desturi zako za kuruhusu uchungulie kwa matamaa lakini usiweke dole ni mila na desturi potofu sana hizo.
Najua hukuwa na nia hiyo ya kutuambia unavyo jisikia ila ulitaka tu kuwatukana dada zetu wa kitanga kuwa; Waliwaga tigo. Sio kweli. Sio wote. Mke wangu hapendi hicho kitu na tangu tumekaa naye miaka hadi tukapata watoto 6 hajawahi kushindwa kusukuma kumtoa mtoto kwa kisingizio kuwa hana maarinda. Ndo tuseme sio mtanga?? Pole zako
Samahani mkuu, sijakuelewa. Mkeo hana marinda na mmezaa watoto 6 si ndio? Kutokuwa na marinda kwa madada wa ki Tanga ni kawaida? Kwa hiyo mleta mada ameharibu kuwaumbua wanawake wazuri wapenda tigo wa ki Tanga au!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samahani mkuu, sijakuelewa. Mkeo hana marinda na mmezaa watoto 6 si ndio? Kutokuwa na marinda kwa madada wa ki Tanga ni kawaida? Kwa hiyo mleta mada ameharibu kuwaumbua wanawake wazuri wapenda tigo wa ki Tanga au!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Usiniudhi kwa kuniwekea maneno potofu. Miye sizibui mitaro na nimekuambia kuwa mke wangu hajawahi zibuliwa ndo maana kazaa watoto 6 bila kushindwa kusukuma. Upo? Nenda clinic uulize chanzo cha wamama wengi kushindwa kusukuma ni nini. Utaambiwa wazi kuwa, hana marinda. Sawa? Soma taratiib utauelewa uzi ndo uchangie. Nazidi kusema, kuwaita watoto wa kitanga kuwa wagawa tigo si haki.
 
Usiniudhi kwa kuniwekea maneno potofu. Miye sizibui mitaro na nimekuambia kuwa mke wangu hajawahi zibuliwa ndo maana kazaa watoto 6 bila kushindwa kusukuma. Upo? Nenda clinic uulize chanzo cha wamama wengi kushindwa kusukuma ni nini. Utaambiwa wazi kuwa, hana marinda. Sawa? Soma taratiib utauelewa uzi ndo uchangie. Nazidi kusema, kuwaita watoto wa kitanga kuwa wagawa tigo si haki.
Nisamehe sheihk wangu, nlikuwa sijakuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kheri ya mwaka mpya wapendwa?

Baada ya kuwatakieni kheri ya mwaka mpya nikimbie moja kwa moja kwenye mada husika.
Mwaka Jana nilibahatika kupata binti mrembo kutoka Tanga. Na kuamini kuwa Tanga Kuna watoto wakali. Sasa mbinde imetokea juzi tukiwa kwenye six by six anataka nimkule Tigo bila hivyo tuachane. Mimi nikazani anatania kumbe yuko serious. Nami kutokana na Mila na desturi zetu pamoja na imani yangu hairuhusu kufanya Jambo Kama Hilo. Leo asubuhi nimemtext baby plz nipo lonely nyumbani naomba uje. Akasema Kama nitamfanya na nyuma yupo radhi kuja nami siitaji kumkosea muumba wangu.

Sifa. Huyu binti Ni mkali sijapata kuona. Ni mrefu kidogo, mweupe wa asili , anatigo la kutosha, umbo namba 8. Aisee kwakweli nimeoza ila sharti Jamani duu.

Nifanyeje jamani kwakweli nampenda kupita maelezo. Ushauri tafadhali.

Naomba kuwasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ufanyaj tena?

Mbona kakupa yakufanya apo,,,,,kula 0716 au muache,eh kipi kimekushinda apo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom