Mr.mzumbe JF-Expert Member Oct 11, 2011 1,014 957 May 17, 2012 #21 King Kong III said: Anazidiwa na mlinzi wa barick? Khaa kweli tz hawathamini elimu. Click to expand... kipi bora,kuwa mlinzi salary linasoma au kuwa ticha salali mwendo wa lori?
King Kong III said: Anazidiwa na mlinzi wa barick? Khaa kweli tz hawathamini elimu. Click to expand... kipi bora,kuwa mlinzi salary linasoma au kuwa ticha salali mwendo wa lori?
N Neyelvis Member Jan 20, 2012 8 2 May 21, 2012 #22 Gerrard said: Excellent. Siongezi kitu hapa Click to expand... Poa kaka tupo pamoja.
moyo wangu Member Nov 18, 2011 59 13 May 21, 2012 #23 Neyelvis said: Ndugu believe me or not kwa kuanzia hakuna kitu kama hicho,labda kwa aliye kazini akajiendeleza. TGTS E1 ni 618,000 ukishakatwa unakula 490,000.Karibu sana kwenye fani. Click to expand... hee!..wanalipwa kdogo hvo hata mtu wa diploma ya course zngne kamzd salary...
Neyelvis said: Ndugu believe me or not kwa kuanzia hakuna kitu kama hicho,labda kwa aliye kazini akajiendeleza. TGTS E1 ni 618,000 ukishakatwa unakula 490,000.Karibu sana kwenye fani. Click to expand... hee!..wanalipwa kdogo hvo hata mtu wa diploma ya course zngne kamzd salary...
mkayala JF-Expert Member Feb 25, 2009 555 72 May 21, 2012 #24 Senetor said: 500k-700k,ulidhan ukisoma masters ndo umewin au? Click to expand... Acha ushamba wewe,mtu kauliza aelimishwe unamponda,kama ulishindwa shule ni juu yako!
Senetor said: 500k-700k,ulidhan ukisoma masters ndo umewin au? Click to expand... Acha ushamba wewe,mtu kauliza aelimishwe unamponda,kama ulishindwa shule ni juu yako!