aman kwenu wana jf, naomben msana wa ushaur, nna mpenz wangu tumekua katika uhusiano kwa mda mrefu sasa, tunapendana na tunaaminiana pasipo na shaka ya aina yoyote hadi kufikia uamzi wa kuja kuishi pamoja kwa siku zijazo, lakin mpenz wangu huyo yan mke wangu mtalajiwa ananizid umli ana 28 nami nina 27 . je kuna tatizo tukiishi pamoja kama familia moja.?
ndio umeshtuka sasa kua amekuzidi umri
Age aren't nothing but a number
Age aren't nothing but a number
Huo umri unakuathiri nini sasa
eeeeh wanaume wa siku hizi...
ndio umeshtuka sasa kua amekuzidi umri
sioni huo umri hapo mbona?
mmmmmm age aren't nothing
Huo muda mref unaoongelea hukuona kama anakuzidi umri?
Haya maswali mengine yanaudhi sana
Ohw sorry, ungeweza kuedit pia
"ain't"
Thanks
wanaume tunahesabika siku hizi!