Msaada jamamani wana MMU

ZUKUDE

Member
Apr 28, 2014
10
0
Amani kwenu wana jf,

Naombeni msana wa ushauri, nina mpenzi wangu tumekua katika uhusiano kwa muda mrefu sasa, tunapendana na tunaaminiana pasipo na shaka ya aina yoyote hadi kufikia uamzi wa kuja kuishi pamoja kwa siku zijazo, lakini mpenzi wangu huyo yaani mke wangu mtarajiwa ananizid umri ana 28 nami nina 27 .

Je kuna tatizo tukiishi pamoja kama familia moja.?
 

wewe katika huo muda mrefu mliokuwa pamoja kuna tatizo umeliona linalotokana na mkeo mtarajiwa kukuzidi umri?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…