khalfan56
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 639
- 136
shida ni upatikanaji wa toolsBrother wakati una repair imei inahusisha process ya ku back up then kisha una restore kwa kuflash tar files via odin....hivyo kurepair kwangu kuna husisha backup na restoration kaka...ndio mana nikakwambia njia zipo nyingi