MrGeneous
JF-Expert Member
- Oct 3, 2020
- 562
- 282
Nasikia Majibu ya interview yametoka hivi ni kweli?..kwa ambae anafaham aelezee vzur kuhusu hili maana binafsi nimemwambia sijaona
Hamna mkuu....bado.
Nasikia Majibu ya interview yametoka hivi ni kweli?..kwa ambae anafaham aelezee vzur kuhusu hili maana binafsi nimemwambia sijaona
Shukrani🙏🏾for feedbackHamna mkuu....bado.
Shukranifor feedback
Watu wapo kwa waganga usaili c washamalizaMpo kimya sana ndugu zngu kulikon tena asee!!!?
Tuendelee na maisha yetu tu vyombo vimeshapita vyote pols, uhamiaji,fire, magereza,Tpdf ....nazan bado takukuru kwa watakao bahatika ukurasa unafungwa ,mpka 2023,au 2024 ndio waje wengneHakuna lonja lolote wakubwa?
Wenye mifumo wanaenda kurport msata tokea uraiani na vksn ........tusio na mifumo tutulie wazeeeHakuna lonja lolote wakubwa?
Me nasemea matokeo ya usaili magereza... Najua kama huko kwingine tayariTuendelee na maisha yetu tu vyombo vimeshapita vyote pols, uhamiaji,fire, magereza,Tpdf ....nazan bado takukuru kwa watakao bahatika ukurasa unafungwa ,mpka 2023,au 2024 ndio waje wengne
Hakuna lonja lolote wakubwa?
Itoshe kusema asiye na mwana na aelekee jiweTuendelee na maisha yetu tu vyombo vimeshapita vyote pols, uhamiaji,fire, magereza,Tpdf ....nazan bado takukuru kwa watakao bahatika ukurasa unafungwa ,mpka 2023,au 2024 ndio waje wengne
Itoshe kusema asiye na mwana na aelekee jiwe
Ndio tushakosa hapo tusubiri miaka inayofuata tuendelee tu na mambo mengine
Itoshe kusema asiye na mwana na aelekee jiwe
Ndio tushakosa hapo tusubiri miaka inayofuata tuendelee tu na mambo mengine
Wapi tena mkuu ?Amna tusikate tamaa mkuu bado nafasi ipo...
Daah we acha tu .Huku umri ukizidi kukutoa kwenye mashindano
Wapi tena mkuu ?
Wizara ya ndani washamaliza ,na jwtz ndio hivyo tayari hakuna cha uraiani hapo hakuna kilichobaki