Anhaaa, hapo nadhani nimekuelewa utofauti wa safe mode na normal mode ni downloaded apps, kama tatizo litakuwa linaendelea na kwenye safe mode basi shida itakuwa kwenye system yenyewe la sivyo itakuwa ni downloaded (custom) app/apps si ndio?
Anhaaa, hapo nadhani nimekuelewa utofauti wa safe mode na normal mode ni downloaded apps, kama tatizo litakuwa linaendelea na kwenye safe mode basi shida itakuwa kwenye system yenyewe la sivyo itakuwa ni downloaded (custom) app/apps si ndio?