General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,316
- 23,178
Ukila papuch yake ndo ujue imekula kwako
ushaanza kuleta mapenzi!!It has been looong long time aiseeh. ...
Mish you.
Bravo.Ngoja kwanza nikushauri kabla sijaanza assumptions:
Huyo ni psycho case kwa maelezo yako. Baada ya muda ata-graduate kutoka kwenye matusi kwenda kuwenye vitendo vya kukudhuru ama kumdhuru mwenzako au kujidhuru yeye mwenyewe.
Kwa kweli nikisema umaripoti polisi nitakuwa nawaonea polisi wetu maana utaalamu huo hawana na hata akipewa court order (ile wazungu wanaita RESTRAINING ORDER) sijui kama ataitii.
Kuweni makini tu na usalama wenu. Kama umepanga fanya mpango tu uhame. kama ukiweza kumshauri au kuzungumza na ndugu zake uwashauri wamtafutie matibabu itapendeza zaidi.
Kwa vyovyote vile chungeni sana usalama wenu.
TURUDI KWENYE ASSUMPTIONS:
Huyu binti hakutokea tu barabarani akakufuata akakuambia wewe kaka nakupenda nataka unioe. Hebu tuelezee kilichofikia mpaka yeye kuja kusema anataka umuoe...
Ingekuwa wewe ungefanyange?Kuendekeza nae mazoea ndo
Chanzo cha yy kuendelea
Kukudekea kama umemzaa
Ningempigia kimy , block KilaIngekuwa wewe ungefanyange?
Kweli ungeacha nyama wazi wazi?Ningempigia kimy , block Kila
Cona ya social network na
Kuhama hapo kama naish tabata
Bhas nasepa mpaka kino
Aaaah mkuu hiyo kesi nyingine,siwezi fanya ivyoHuyo ulisha wahi kumgegeda huyoo wala usibishee,
Namm nimeona si kawaida,leo nimeanza mchakato wa kuondoka maana hii changamoto hatariNingempigia kimy , block Kila
Cona ya social network na
Kuhama hapo kama naish tabata
Bhas nasepa mpaka kino
Ha ha ha ngoja nijaribu kuwa bongo movieJifanye umerukwa na AKILI yaani umekuwa Mwendawazimu.
Hakikisha unamfuata yeye Nyumbani kwake ukiwa wewe umejipakaza MASIZI ya mkaa Mwili mzima, huku ukiwa umevaa Viatu vilivyochakaa vikiwa vichafu na Viwe vinatofautiana.
Ukifanya hiki ninachokuambia nakuahidi hatokusumbua tena huyo
Sijakuelewa mkuuShule inafunguliwa lini
Mkuu mtihani huoNaomba nisaidie namba ake amin hilo tatzo linaisha leo leo
Hapana,nimehamia ili eneo nina miezi mi3 tu nawala sijawahi kufahamiana nayeHuyo ulisha wahi kumgegeda huyoo wala usibishee,
Baada ya kufanya utafiti kidogo,hiyo familia inawatoto wakike wanne ambao mdogo kabisa ni 23+ na wote hawajaolewa wawili tayari wamezaa home na shule walikataa,so mama yao amechoka nao,so kwa mazingira hapa mm ninapo kaa nimtego wa ndoa ya mkeka,ukigusa tu unanasa....na kwa taarifa ya wenyeji huwa hawakatai mwanaume yaani wanahuruma sana anytime,anywhere cos wao muda mwingi wapo home hawana kazikuna vidume hapo vishapiga siku nyingi na ndoa holaaaaa.
Mkuu si kila sehemu unakula tu,kuna magonjwa siku hizi,pia unaweza kula hata vilivyoozaMpe dudu hyo wewe wanaume wa dar mkoje kwani, au umeambiwa dudu ni kama ice cream itaisha
Acha tu mkuu,maana hata sifahamiani naye vizuri cos nimehamia hapa huu ndo mwezi wa 3 tuDuuu huyo nae ana lake jambo mambo gani ya kumganda mtu ambaye hakuhitaji.