Msaada: Huyu Dada nimfanyeje?

Msaada: Huyu Dada nimfanyeje?

Chukwu emeka

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2018
Posts
25,207
Reaction score
40,645
Hbari wana JF,

Kuna dada ananipenda sana,anataka nimuoe ila binafsi sina hata hisia naye kabisa na nimeshamwambia ukweli kuwa mm nina mchumba tayari ambaye soon tutafunga ndoa,ila bado hanielewi bahati nzuri hata Baby wangu amamfahamu tayari ila bado hakubaliani na hali hiyo.Amekuwa akipiga simu na kutuma msg 24/7 ila nisipojibu au kupokea anatuma salio,mfano leo kanunua muda wa maongezi wa elf 10,bundle la mwezi mzima ilimradi niwe namjibu na kumpigia simu.

Nimempigia na kujaribu kumsihi anielewe, ila anasema ananiomba tu angalau azae namm atalea mwenyewe,mm nimemwambia jambo hilo haliwezekani kwa imani yangu na binafsi siwez fanya ivyo.Kwangu anapafahamu cos tunaishi karibu leo jioni wkt narudi toka mishe zangu aliniona ile naingia tu kwangu,nayeye akaja nikasalimiana naye,ghafla akawa anataka kuja mwilini,cos niligundua anachotaka nikawa mpole na kutumia akili ya kuzaliwa.Nikamwambia iliuenjoy ngoja nioge kwanza ili uwe comfortable cos nimesweti sana,akanielewa.Nikazuga hakuna sabuni nikamtuma dukani,alipotoka tu namm nikatoka na kufunga mlango,akawa anakuja na sabuni nikaipokea then nikamwambia nimepigiwa simu natoka,akawa anaforce nimwachie funguo abaki ndani nikagoma,akasema atanisubilia.

Bahati nzuri mchumba wangu huwa anakuja weekend,yeye anafunguo ameenda direct hadi pale akakuta yupo amekaa nje ya nyumba,Baby akaingia ndani nayeye akamfuata,cos anamjua akamuuliza vp,akajibu namm namsubilia huyohuyo si wako pekeyako,baby wangu cos anajua mkanda wote akasema sawa karibu,nimerudi nikamkuta ndani.Akanitukana sana,mi nilikuwa natabasamu tu,then akaondoka na matusi yanaendelea kuja kwa msg ila mm sijibu chochote.


Naombeni ushauri wenu,nini chakufanya.
 
Ngoja kwanza nikushauri kabla sijaanza assumptions:

Huyo ni psycho case kwa maelezo yako. Baada ya muda ata-graduate kutoka kwenye matusi kwenda kuwenye vitendo vya kukudhuru ama kumdhuru mwenzako au kujidhuru yeye mwenyewe.

Kwa kweli nikisema umaripoti polisi nitakuwa nawaonea polisi wetu maana utaalamu huo hawana na hata akipewa court order (ile wazungu wanaita RESTRAINING ORDER) sijui kama ataitii.

Kuweni makini tu na usalama wenu. Kama umepanga fanya mpango tu uhame. kama ukiweza kumshauri au kuzungumza na ndugu zake uwashauri wamtafutie matibabu itapendeza zaidi.

Kwa vyovyote vile chungeni sana usalama wenu.


TURUDI KWENYE ASSUMPTIONS:
Huyu binti hakutokea tu barabarani akakufuata akakuambia wewe kaka nakupenda nataka unioe. Hebu tuelezee kilichofikia mpaka yeye kuja kusema anataka umuoe...
 
Mlambe makofi siku moja. Ashike adabu. Kama upo sirias.

But hata wewe it seem unampenda. Kweli useme no, sirias alafu mtu anakuletea mazoea?? Really??
Ningeweza kufanya hayo yote hata kumpa makofi ila nimeona niwe mpole kwanza ,na wala sina mpango nayeye kabisa cos nimeshatoa mahari kwa mchumba wangu na soon tunaoana
 
Ngoja kwanza nikushauri kabla sijaanza assumptions:

Huyo ni psycho case kwa maelezo yako. Baada ya muda ata-graduate kutoka kwenye matusi kwenda kuwenye vitendo vya kukudhuru ama kumdhuru mwenzako au kujidhuru yeye mwenyewe.

Kwa kweli nikisema umaripoti polisi nitakuwa nawaonea polisi wetu maana utaalamu huo hawana na hata akipewa court order (ile wazungu wanaita RESTRAINING ORDER) sijui kama ataitii.

Kuweni makini tu na usalama wenu. Kama umepanga fanya mpango tu uhame. kama ukiweza kumshauri au kuzungumza na ndugu zake uwashauri wamtafutie matibabu itapendeza zaidi.

Kwa vyovyote vile chungeni sana usalama wenu.


TURUDI KWENYE ASSUMPTIONS:
Huyu binti hakutokea tu barabarani akakufuata akakuambia wewe kaka nakupenda nataka unioe. Hebu tuelezee kilichofikia mpaka yeye kuja kusema anataka umuoe...

Nahukuru kwa maelezo yako mazuri,kwanza huku nimepanga na si muda mrefu ni mwezi wa tatu huu na ni maandalizi ya kuoa niliona nitafute nyumba kubwa zaidi,karibu na hapa kuna mpesa ambayo ni ya familia yao ambayo ni nyumba yao ndo jirani yetu nayeye huyo dada ndiye operator wa ofisi hiyo namekuwa akiuza na soft drinks.Alipata namba yangu siku niliyokwenda kuweka hela mpesa wkt nahitaji kumtumia mdogo wangu kumbe,na huwa kila asbh natoka na jioni narudi nawakuta wamekaa na nje kwao pamoja na mama yao cos nawaona mabinti kama wanne wapowapo tu kwao hapo,mi huwa ni salamu tu basi na nilikuwa nanunua soft drinks hapo kwao cos ni hapahapa home,na mchumba wangu alikuwa akija kabla sijagundua alikuwa ananuniwa hata akienda kununua kitu hapo nadhani walidhani nipo single
 
Nahukuru kwa maelezo yako mazuri,kwanza huku nimepanga na si muda mrefu ni mwezi wa tatu huu na ni maandalizi ya kuoa niliona nitafute nyumba kubwa zaidi,karibu na hapa kuna mpesa ambayo ni ya familia yao ambayo ni nyumba yao ndo jirani yetu nayeye huyo dada ndiye operator wa ofisi hiyo namekuwa akiuza na soft drinks.Alipata namba yangu siku niliyokwenda kuweka hela mpesa wkt nahitaji kumtumia mdogo wangu kumbe,na huwa kila asbh natoka na jioni narudi nawakuta wamekaa na nje kwao pamoja na mama yao cos nawaona mabinti kama wanne wapowapo tu kwao hapo,mi huwa ni salamu tu basi na nilikuwa nanunua soft drinks hapo kwao cos ni hapahapa home,na mchumba wangu alikuwa akija kabla sijagundua alikuwa ananuniwa hata akienda kununua kitu hapo nadhani walidhani nipo single


Samahani kwa kutokuamini kwangu...

Kweli kabisa mkuu...unataka kuniambia kuwa ulienda kununua vocha, akapata namba yako, akaanza kukusumbua umuoe? Bila wewe kufanya lolote upande wako? Kweli kabisa?

ama kwa kuwa shemeji yupo JF na yeye kuwezi kuandika yote?

Basi ninaelewa..wala usinijibu...

Tuchukulie tu kuwa usemayo ni kweli...kwa mantiki hiyo kwa kuwa niliandika kwa herufi ndogo wacha niseme hivi HAMA ENEO HILO HARAKA SANA IWEZEKANAVYO!

SHE IS A NUT CASE!

Nyumba kubwa zipo nyingi hapa Daslam....kwa usalama wenu (na wake) fanya hima uhame kabla ya ndoa.

kwa maelezo yako na kama ambavyo tumekubaliana kukubaliana...si muda mtadhurika!
 
Samahani kwa kutokuamini kwangu...

Kweli kabisa mkuu...unataka kuniambia kuwa ulienda kununua vocha, akapata namba yako, akaanza kukusumbua umuoe? Bila wewe kufanya lolote upande wako? Kweli kabisa?

ama kwa kuwa shemeji yupo JF na yeye kuwezi kuandika yote?

Basi ninaelewa..wala usinijibu...

Tuchukulie tu kuwa usemayo ni kweli...kwa mantiki hiyo kwa kuwa niliandika kwa herufi ndogo wacha niseme hivi HAMA ENEO HILO HARAKA SANA IWEZEKANAVYO!

SHE IS A NUT CASE!

Nyumba kubwa zipo nyingi hapa Daslam....kwa usalama wenu (na wake) fanya hima uhame kabla ya ndoa.

kwa maelezo yako na kama ambavyo tumekubaliana kukubaliana...si muda mtadhurika!

Hyupo JF nayeye kalala zake hapa,sikwenda kununua vocha ila alipata namba yangu kwakuwa nilienda kuweka hela Mpesa,wana vikaratasi pale unaandika namba iliwasije wakakosea.Nashukuru kwa ushauri hilo la kuhama nilifanyie kazi haraka iwezekanavyo
 
Mwambie yeye na ikiwezekana ndugu yake, kwamba akituma tena iwe msg ama akija kwako ama kukusumbua kwa vyovyote utamfungulia kesi polisi.

Akifanya hivyo nenda polisi kafungue kesi ya sexual harassment!

Usipoangalia atawasababishia matatizo makubwa sana
 
Jifanye umerukwa na AKILI yaani umekuwa Mwendawazimu.

Hakikisha unamfuata yeye Nyumbani kwake ukiwa wewe umejipakaza MASIZI ya mkaa Mwili mzima, huku ukiwa umevaa Viatu vilivyochakaa vikiwa vichafu na Viwe vinatofautiana.

Ukifanya hiki ninachokuambia nakuahidi hatokusumbua tena huyo
 
Ngoja kwanza nikushauri kabla sijaanza assumptions:

Huyo ni psycho case kwa maelezo yako. Baada ya muda ata-graduate kutoka kwenye matusi kwenda kuwenye vitendo vya kukudhuru ama kumdhuru mwenzako au kujidhuru yeye mwenyewe.

Kwa kweli nikisema umaripoti polisi nitakuwa nawaonea polisi wetu maana utaalamu huo hawana na hata akipewa court order (ile wazungu wanaita RESTRAINING ORDER) sijui kama ataitii.

Kuweni makini tu na usalama wenu. Kama umepanga fanya mpango tu uhame. kama ukiweza kumshauri au kuzungumza na ndugu zake uwashauri wamtafutie matibabu itapendeza zaidi.

Kwa vyovyote vile chungeni sana usalama wenu.


TURUDI KWENYE ASSUMPTIONS:
Huyu binti hakutokea tu barabarani akakufuata akakuambia wewe kaka nakupenda nataka unioe. Hebu tuelezee kilichofikia mpaka yeye kuja kusema anataka umuoe...
JF kuna watu wana akili sanaa khaaaa........🙂🙂🙂
 
Nahukuru kwa maelezo yako mazuri,kwanza huku nimepanga na si muda mrefu ni mwezi wa tatu huu na ni maandalizi ya kuoa niliona nitafute nyumba kubwa zaidi,karibu na hapa kuna mpesa ambayo ni ya familia yao ambayo ni nyumba yao ndo jirani yetu nayeye huyo dada ndiye operator wa ofisi hiyo namekuwa akiuza na soft drinks.Alipata namba yangu siku niliyokwenda kuweka hela mpesa wkt nahitaji kumtumia mdogo wangu kumbe,na huwa kila asbh natoka na jioni narudi nawakuta wamekaa na nje kwao pamoja na mama yao cos nawaona mabinti kama wanne wapowapo tu kwao hapo,mi huwa ni salamu tu basi na nilikuwa nanunua soft drinks hapo kwao cos ni hapahapa home,na mchumba wangu alikuwa akija kabla sijagundua alikuwa ananuniwa hata akienda kununua kitu hapo nadhani walidhani nipo single
Naomba nisaidie namba ake amin hilo tatzo linaisha leo leo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom