Mmhh mkuu hapanaUhuru Lutheran Hostel
Kumbe na wewe asubuhi dish liko clear?😂😂😂Kwa akili hizi Katiba mpya hatupati kirahisi
Mimi nikifika moshi mjini uwa na lala Q wine hotel ipo mjini nalala chumba cha elfu hamsini ni kizuri kama utapenda hapo nitakutumai no za mapokeziNatarajia kwenda Moshi kwa muda wa wiki mbili, naomba msaada wa Hotel au Lodge nzuri ambayo gharama yake ni elfu 30
Natarajia kwenda Moshi kwa muda wa wiki mbili, naomba msaada wa Hotel au Lodge nzuri ambayo gharama yake ni elfu 30
Mimi nikifika moshi mjini uwa na lala Q wine hotel ipo mjini nalala chumba cha elfu hamsini ni kizuri kama utapenda hapo nitakutumai no za mapokezi
Kuna Dada mmoja anaitwa Zulfa na wakiume anaingia usiku ni wastaraabu sana na kwa ufupi wasafi sana
Zingira sio poaBro kuna nini umepakataa kwa sauti kubwa
Kwa akili hizi Katiba mpya hatupati kirahisi