Msaada: Hivi vipele vinaniwasha sana

Msaada: Hivi vipele vinaniwasha sana

tembocard

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
247
Reaction score
124
Habari zenu wana JF?
32ee519dc1cfd07e4340b973136d6c01.jpg


Naombeni msaada wenu nateseka na hivi vipele vya rangi nyekundu vinawasha sana hii wiki ya 3 toka vianze kunitokea,. Naomba msaada mwenye kujua dawa maana minyoo nimepima sina hospital wamenipa dawa za alleji nimemaliza juzi ila hazijasaidia chochote.

Naomba msaada wenu nifanyaje au nitumie nini.

Mungu awabariki.
 
Jamani Madaktari / Wataalam mliopo humu Jamvini JF fanyeni upesi muweze Kuokoa Afya na Uhai wa huyu Mpiga Kura wa Tanzania kwa mwaka 2020.
 
lini vilianza? vilianzia sehemu gani, history ya allergy kama unayo au ktk familia, kuna ndugu yko kawahi pata? kazi gani unafanya it cud be risk factor, dawa gani so far umetumia... highlight kipele kimoja ktk closer view.. hlf pattern ya distribution inahusika na sero status yko... kama information ukitoa inaweza kuwa rhc kutambua ni nini...
 
lini vilianza? vilianzia sehemu gani, history ya allergy kama unayo au ktk familia, kuna ndugu yko kawahi pata? kazi gani unafanya it cud be risk factor, dawa gani so far umetumia... highlight kipele kimoja ktk closer view.. hlf pattern ya distribution inahusika na sero status yko... kama information ukitoa inaweza kuwa rhc kutambua ni nini...
Mwez wa 12 vilianza vipele vidogo vidogo vinavyowasha vinajitengeneza style kama shiling vilianza mkononi badae vikatokea mwili mzma den vikawa vinakauka vinaacha alama vinatoka tena vingne wik ile kule ndovikaanza kutoka vngne vyekundu tofaut na vya mwanzo, kwenye familia hakuna Mwenye alej, kaz Bdo cjapata nmemalza Chuo mwaka juz. Mwanzo vilianza hv
lini vilianza? vilianzia sehemu gani, history ya allergy kama unayo au ktk familia, kuna ndugu yko kawahi pata? kazi gani unafanya it cud be risk factor, dawa gani so far umetumia... highlight kipele kimoja ktk closer view.. hlf pattern ya distribution inahusika na sero status yko... kama information ukitoa inaweza kuwa rhc kutambua ni nini...
Mwez wa 12 vilianza vipele vidogo vidogo vinavyowasha vinajitengeneza style kama shiling vilianza mkononi badae vikatokea mwili mzma den vikawa vinakauka vinaacha alama vinatoka tena vingne wik ile kule ndovikaanza kutoka vngne vyekundu tofaut na vya mwanzo, kwenye familia hakuna Mwenye alej, kaz Bdo cjapata nmemalza Chuo mwaka juz. Mwanzo vilianza hv
edfb4287540a729ba2e5568125429d29.jpg
 
Mwez wa 12 vilianza vipele vidogo vidogo vinavyowasha vinajitengeneza style kama shiling vilianza mkononi badae vikatokea mwili mzma den vikawa vinakauka vinaacha alama vinatoka tena vingne wik ile kule ndovikaanza kutoka vngne vyekundu tofaut na vya mwanzo, kwenye familia hakuna Mwenye alej, kaz Bdo cjapata nmemalza Chuo mwaka juz. Mwanzo vilianza hv

Mwez wa 12 vilianza vipele vidogo vidogo vinavyowasha vinajitengeneza style kama shiling vilianza mkononi badae vikatokea mwili mzma den vikawa vinakauka vinaacha alama vinatoka tena vingne wik ile kule ndovikaanza kutoka vngne vyekundu tofaut na vya mwanzo, kwenye familia hakuna Mwenye alej, kaz Bdo cjapata nmemalza Chuo mwaka juz. Mwanzo vilianza hv
edfb4287540a729ba2e5568125429d29.jpg

Mwez wa 12 vilianza vipele vidogo vidogo vinavyowasha vinajitengeneza style kama shiling vilianza mkononi badae vikatokea mwili mzma den vikawa vinakauka vinaacha alama vinatoka tena vingne wik ile kule ndovikaanza kutoka vngne vyekundu tofaut na vya mwanzo, kwenye familia hakuna Mwenye alej, kaz Bdo cjapata nmemalza Chuo mwaka juz. Mwanzo vilianza hv

Mwez wa 12 vilianza vipele vidogo vidogo vinavyowasha vinajitengeneza style kama shiling vilianza mkononi badae vikatokea mwili mzma den vikawa vinakauka vinaacha alama vinatoka tena vingne wik ile kule ndovikaanza kutoka vngne vyekundu tofaut na vya mwanzo, kwenye familia hakuna Mwenye alej, kaz Bdo cjapata nmemalza Chuo mwaka juz. Mwanzo vilianza hv
edfb4287540a729ba2e5568125429d29.jpg
39a9ba4fe681d14090ce99cbd04f9f28.jpg
 
Habari zenu wana JF?
View attachment 692112

Naombeni msaada wenu nateseka na hivi vipele vya rangi nyekundu vinawasha sana hii wiki ya 3 toka vianze kunitokea,. Naomba msaada mwenye kujua dawa maana minyoo nimepima sina hospital wamenipa dawa za alleji nimemaliza juzi ila hazijasaidia chochote.

Naomba msaada wenu nifanyaje au nitumie nini.

Mungu awabariki.

Dah Hii ngozi kama naijua vile!
 
Back
Top Bottom