Habari sana Jamie forum . Chief_ mkwawa naomba Msaada nimenunua simu samsung galax j7 prime, mbona haina feature za samsung. Japo iko vizuri mtandao, camera, lakini ni nzito tofauti na Samsung nnazozijua, haina ule mstari wa kijani unatokeaga juu na sio amolled , kwa ujumla iko tofauti na nomads by Vietnam labda unaweza kunisaidia chochote kabla sijairudisha.