Sifi Leo
Platinum Member
- Mar 30, 2012
- 5,939
- 10,823
daa, jamaa alikuwa anataka kunipa kazi za uteuzi i mean viti maalumu nini? mimi spokeagi hizo kumbe ndio maana nilichelewa.Ikulu.......... jipeleke kabla haijaita mara ya 5
daa, jamaa alikuwa anataka kunipa kazi za uteuzi i mean viti maalumu nini? mimi spokeagi hizo kumbe ndio maana nilichelewa.Ikulu.......... jipeleke kabla haijaita mara ya 5
nilikuwa mbari na simu, c wajua siku hzi haturuhusiwi kukaa na ofisi karibu maofisini uku?
nilikuwa mbari na simu, c wajua siku hzi haturuhusiwi kukaa na ofisi karibu maofisini uku?
Number ipihii number imempigia mdogo angu Jamani
kasema Mtu anaongea kiingerrza na anacheke
Sema Hiyo cheka yake imemfanya mdogo angu atoke chumbani nduki maana anasema sauti inatisha Je hii number ni ya wap
+255 0901009911Number ipi
Hiyo ni namba ya Tigo na hutumiwa kutokea ofisini kwao kuwasiliana na wateja hasa Invoice msg iliyorekodiwa, huwezi kupiga wala kutuma msg kwa no. hiyo. Ova!!+255 0901009911
Dogo Mbona line yake ni ya airtelHiyo ni namba ya Tigo na hutumiwa kutokea ofisini kwao kuwasiliana na wateja hasa Invoice msg iliyorekodiwa, huwezi kupiga wala kutuma msg kwa no. hiyo. Ova!!