Msaada: Hii namba ni ya mtandao gani?

Msaada: Hii namba ni ya mtandao gani?

Tangopori

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2012
Posts
1,628
Reaction score
1,289
Kuna namba imenipigia le mchana sikuweza kupokea maana nilikuwa sehemu nisingeweza kuipokea nikatuma sms ikawa inaleta report kuwa sms unsuccesfully
Nilivyotaka kuipigia ikawa simu haiendi pia!
Namba yenyewe ni +255 901 ** ****
Je hii ni namba ya mtandao gani inaanza na +255(0)901 ??
 
Kuna namba imenipigia le mchana sikuweza kupokea maana nilikuwa sehemu nisingeweza kuipokea nikatuma sms ikawa inaleta report kuwa sms unsuccesfully
Nilivyotaka kuipigia ikawa simu haiendi pia!
Namba yenyewe ni +255 901 ** ****
Je hii ni namba ya mtandao gani inaanza na +255(0)901 ??

mkuu hiyo namba ni ya israel mtoa roho, yaani anza kusali sala ya toba kabla ajakushukia leo usiku
 
Kweli wakuu tunaomba mwenye kuijua hii no. Maana hata mimi nilipigiwa na hii no. Wiki iliyopita lkn sikupokea baada ya kuona si ya kawaida..
 
Siyo ya tigo mm pia natumia laini ya voda walinipigia juzi nikawa nimechelewa kupokea nilivyo kuja kuipiga tena ikagoma nikatuma msg zika goma! Number zenyewe hzi hapa +25590176123
 
Niliwahi kunipigia nikawapigia wakalamba salio yangu yote
 
Mimi mwenyewe nimepigiwa na hiyo no.na ninatumia airtel kwa bahati mbaya wakati inanipigia nilikuwa sehemu ambayo sikuweza kuipokea, nilipojaribu kuipigia iliita bila kupokelewa.
Jamani watu wa mitandao embu tuondoeni hofu hii ni no.za kampuni gani.
 

Attachments

  • 1433263555294.jpg
    1433263555294.jpg
    23.1 KB · Views: 727
hata mimi nilipigiwa na hiyo number kwa bahati mbaya simu ilikuwa silence ckuweza kuickia ikiita
 
Kuna namba imenipigia le mchana sikuweza kupokea maana nilikuwa sehemu nisingeweza kuipokea nikatuma sms ikawa inaleta report kuwa sms unsuccesfully
Nilivyotaka kuipigia ikawa simu haiendi pia!
Namba yenyewe ni +255 901 ** ****
Je hii ni namba ya mtandao gani inaanza na +255(0)901 ??

Hii namba ni 0901656564 ni mara nyingi nami napigiwa kwenye laini ya tigo inazungumzia masuala ya Ukahaba na madada poa
 
Hii ni namba ya voda hata mm nlipigiwa nlipopokea wakawa wanaongea mambo ya promoshen zao tu! Kiufupi walikuwa wananihamasisha kuibiwa,,,
 
Hiyo namba ukimtumia mwanasayansi wa dunia muhongo atakujibu within a minute
 
Namba inayotumiwa na tigo ama vodacom.... Kwa ajili ya kutoa elim fulan au kutafuta marafiki kwa njia ya simu....
 
Back
Top Bottom