Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,211
- 99,971
Hata ingekua tarehe 36 huo mzigo ni wako, kama ulimdanganya jiandae kuumbukaTarehe 20 ndo bleed yake ya mwisho af tarehe 28 tukajoin
Hata ingekua tarehe 36 huo mzigo ni wako, kama ulimdanganya jiandae kuumbukaTarehe 20 ndo bleed yake ya mwisho af tarehe 28 tukajoin
Kwa hesabu za chap tunategemea utaitwa baba fulani mnamo mwakani kabla ya mwezi wa sitaTarehe 20 ndo bleed yake ya mwisho af tarehe 28 tukajoin
Nisamehe Mkuu, sikufahamu kama wewe ni mwanaume 🏃♀️Eeeeh unaharibu sasa.
Me nijue za nn na midevu Gb8 nianze kukupekua ?
Kumbe ushamkataaNdo hapo ndugu hata nulivokataa hakutaka mambo mengi
Dharau hizi ujueNisamehe Mkuu, sikufahamu kama wewe ni mwanaume 🏃♀️
Mkumbushe tu mimba inayotungwaga siku ya 13-15 huyo mtoto anatokaga copy ya baba kwahio ajipange maan kashapaniki kinomaHesabu hapo hiyo tarehe 28
😅😅😅umeshalikologaMsaada wenu,
Mwanamke ananambia ana mimba ila sijui kama ni yangu kweli. Mpaka sasa tuna siku 10 toka tumeachana.
😅😅😅Nenda na hesabu Mwanetu usiuziwe NIDA ya mtu
Unatengenezewa mazingira ya kukamuliwaMsaada wenu,
Mwanamke ananambia ana mimba ila sijui kama ni yangu kweli. Mpaka sasa tuna siku 10 toka tumeachana.
😅😅😅😅Mwanetu tulia kwanza.
Mbona kama Unalia?
Akubali tu maana akikataa na copy ya baba ikatoka sijui atamwambia nini mtoto hapo baadaeMkumbushe tu mimba inayotungwaga siku ya 13-15 huyo mtoto anatokaga copy ya baba kwahio ajipange maan kashapaniki kinoma
Sio kosa maana ndivyo ulivyopatikana. Chamsingi liwe tendo la ndoa sio casual sex. Nyeto restructures your brain, hutaishiwa nguvu ila itakuprogramme kupewa tendo kwanjia za ajabu mwishowe normal sex itakushinda, shika hilo kichwani. To every action there is.....safi sana... watakucheka ila mwisho wa siku wao ndo watabaki kulea mimba....
Mpe maji apoze kooMwanetu tulia kwanza.
Mbona kama Unalia?