Olsea
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 452
- 250
Habari wakuu,naombeni msaada kwa wenye uzoefu au aliyewahi kukumbana na tatizo hili kwenye iPhone..Nina iPhone 6 nimeitumia kama miezi 6 hivi na nilinunua mpya.Tatizo lilianza wakati wa kutumia simu ghafla zinatokea horrizontal lines huku screen kama inachuja na contents za kwenye screen zinaonekana hafifu na then inazima yenyewe na inawaka yenyewe,siku moja nikiwa nimeweka charge ikawa inazima na kuwaka yenyewe muda wote nilipokuja kuitoa simu ikawa haiwaki kabisa hadi sasa na nimejaribu kila mbinu bila mafanikio.Naombeni ushauri kwa wazoefu au ambao wameshawahi kukutana na tatizo hili japo Akili yangu inawaza huenda Battery ikawa imekufa.