Unahitajika kusafisha damu, kuna kitu watu hawaja note huwa kinaweza kukauka kwa njee alfu ndani kikavima na ukikigusa unaweza sema unajipu na ukikikamua kunatoka damu, sio ishu ya cream ni damu chafu mkuu. Dawa ya kusafisha damu ninayo na ukitaka kufanya diet mwenyewe tumia mbogamboga zenye iron Florine kwa wingi mfano, Mchunga, mnavu na matunda na kuachana na vyakula vyenye mafuta kwa wingi na vyenye cholesterol nyingi.
Ni lazima kutibu source ya ugonjwa na sio symptoms. Jitahidi kufunga fasting inasaidia hata mara mbili kwa wiki ukishindwa waweza kufunga ukanjwa maji tu hii itakusaidia kusafisha mwili mzima.
Nake Truth.