Msaada hichi kidonda sehemu ya siri nitumie dawa gani?

Could be true....this one is hidden Truth
 
Mkuu kwa maana hiyo aloe vera na kitunguu swaumu ndo tiba uliotumia hadi kupona.??
 
Usiache kwenda hospital.
Unasumbuliwa na jipu ambalo linatokana na damu kuchafuka.
Nenda kwa Wauza dawa wa Kimasai, uliza Gamba la "SUKU". Chemsha katika Lita moja ya Maji mpaka maji yawe kama chai rangi, kisha liondoe hilo gamba lianike utalitumia tena baadaye.
Kunywa robo au nusu kikombe cha chai Mara tatu mpaka yatakapoisha.
Kidonda kitakauka au kitatengeneza mdomo wa jipu tayari kukamuliwa.
Dawa hii, inapatikana kwa Wamasai itakusaidia na haina matatizo yoyote inapotumika na dawa za hospital.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…