fuatilia huko posta,utapelekwa kwa bwana TRA,,
lakini hapo nimeona muda haujachange kivile subiri kama siku 2 hivi,then check tena,,,,, muda mwingine custom wanachelewesha...
Mzigo sio mkubwa kwa maana ya UKUBWA. yaani volume, yaani urefu x upana x unene/pai mara nusu kipenyo kipeo cha pili mara urefu/n.k au sio mkubwa kwa maana ya thamani yake?!
Ninachoona hapo ni issue ya kodi ambayo haijalishi ukubwa wa mzigo bali thamani ya mzigo!
Niliagiza tws earphones wakaniwekea hivyo. Nilipoenda posta wakaniambia lazima nilipie kodi. Nikawadanganya earphones nimenunua 40 badala ya 110 nikapigwa kodi ya kama 20000 hivi. Sasa sijui kama kudanganya ilisaidia au vipi. Kwasababu nilijua labda nikidanganya itakuwa kama 5000 hivi lakini inaonekana wanaangalia bei halisi.