Heshima kwenu nyote..Poleni na majukumu.
Kuna mtu humu alipost kitu ili kuzuia usumbufu kwenye simu,alsema unaminya *002*007#.mimi nmejaribu na line imejilock mpaka sahiz nashndwa ku unlock..anaejua plz anisaidie.Samahan kwa usumbufu.
I can help you, if you come with a good price, TANGU Magu atangaze watu wasicheze pool, watu wameamua kutafuta ajira kwa style tofauti. Hiyo ku-unlock not less than 15K. Ila kwa kuwa wewe hujui, ntakufannyia kwa 10K.
Pm me for next procedures.
Ingia kwenye phone/call ile sehemu ya kupigia au kuwekea vocha, minya alama ya option ipo kushoto/kulia, fungua call setting utaipata iyo call forwarding
I can help you, if you come with a good price, TANGU Magu atangaze watu wasicheze pool, watu wameamua kutafuta ajira kwa style tofauti. Hiyo ku-unlock not less than 15K. Ila kwa kuwa wewe hujui, ntakufannyia kwa 10K.
Pm me for next procedures.
I can help you, if you come with a good price, TANGU Magu atangaze watu wasicheze pool, watu wameamua kutafuta ajira kwa style tofauti. Hiyo ku-unlock not less than 15K. Ila kwa kuwa wewe hujui, ntakufannyia kwa 10K.
Pm me for next procedures.
Heshima kwenu nyote..Poleni na majukumu.
Kuna mtu humu alipost kitu ili kuzuia usumbufu kwenye simu,alsema unaminya *002*007#.mimi nmejaribu na line imejilock mpaka sahiz nashndwa ku unlock..anaejua plz anisaidie.Samahan kwa usumbufu.