Poleni na majukumu, kuna mtu humu alipost kitu ili kuzuia usumbufu kwenye simu,alsema unaminya *002*007#.mimi nmejaribu na line imejilock mpaka sahiz nashndwa ku unlock..anaejua plz anisaidie.
Ingia kwenye phone/call ile sehemu ya kupigia au kuwekea vocha, minya alama ya option ipo kushoto/kulia, fungua call setting utaipata iyo call forwarding