Hapo nimetoka kappa kabisa niaambie kitabakilo21002
unajua hapo wanamaanisha nini hawa VIJANA
Hapo nimetoka kappa kabisa niaambie kitabakilo21002
unajua hapo wanamaanisha nini hawa VIJANA
PambizoYaani hata wakiandika barua ya maombi ya kazi, kama masharti ni kuandika kwa mkono barua husika, hawajui hata kuacha margin ya kutoka pembeni (mstari wa pambizo), yaani anaandika pembeni kabisa ya karatasi kiasi kwamba hiyo barua ikipokelewa wakitoboa kuweka kwenye faili maneno mengine yanatoboka. Halafu hata juu ya Bahasha anapoandika anwani ya huko anapotuma, wengine utaona aandika juu kabisa ya bahasha badala ya kuandika katikati ya bahasha tena kwa herufi kubwa zinazosomea sawa sawia
mpaka nilipigwa kipindi nafundishwahahahahahah, nimekukumbusha mbali hahahahahha.Pambizo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
mpaka nilipigwa kipindi nafundishwa
hahahahahah, nimekukumbusha mbali hahahahahha.
Unajua wanaposema barua ya maombi iandikwe kwa mkono wanaangalia mambo mengi.
Wengine utakuta eti anapoandika barua, pale juu mkono wa kulia anapoandika anwani yake, ANAANZA NA JINA LAKE kitu ambacho sio sahihi, kwa mfano kuandika kwenye anwani kama hivi ni koso:
KIATU KIPYA,
S.L.P. 202020202,
KATAVI.
hilo ni kosa kubwa.
hutakiwi kuandika jina lako kwenye anwani. Jina lako litaonekana mwishoni kabisa kwenye barua yako ukishaandika "complimentary close"
hapo juu weka anwani tuuu. Hili kosa naona watu wengi wanakosea hata wasomi
aiseee umenikumbusha kituMbona hata mm mmeandika ivo ivo nifute nn au niache tu nmeshai print kabisa ndo nataka nkatume xxhahahahahah, nimekukumbusha mbali hahahahahha.
Unajua wanaposema barua ya maombi iandikwe kwa mkono wanaangalia mambo mengi.
Wengine utakuta eti anapoandika barua, pale juu mkono wa kulia anapoandika anwani yake, ANAANZA NA JINA LAKE kitu ambacho sio sahihi, kwa mfano kuandika kwenye anwani kama hivi ni koso:
KIATU KIPYA,
S.L.P. 202020202,
KATAVI.
hilo ni kosa kubwa.
hutakiwi kuandika jina lako kwenye anwani. Jina lako litaonekana mwishoni kabisa kwenye barua yako ukishaandika "complimentary close"
hapo juu weka anwani tuuu. Hili kosa naona watu wengi wanakosea hata wasomi
Hapo anamaanisha Tumia tu...21002 hahaha21002
unajua hapo wanamaanisha nini hawa VIJANA
heeeeeeeeeeeeee!!!!!!Hapo anamaanisha Tumia tu...21002 hahaha
Unaona kosa lako hivi unashindwa kuandika sasa? Upaswi kupewa msaada kabisa weweMbona hata mm mmeandika ivo ivo nifute nn au niache tu nmeshai print kabisa ndo nataka nkatume xx
hapana "uxifute" hahahhhahahaMbona hata mm mmeandika ivo ivo nifute nn au niache tu nmeshai print kabisa ndo nataka nkatume xx
hahahha na mimi nimejibu "uxifute" hahahaahahahahUnaona kosa lako hivi unashindwa kuandika sasa? Upaswi kupewa msaada kabisa wewe
Aiseee ni kwenye hizo barua😀😛 kitu gani hahahaha
Hahahah pw pw kkhapana "uxifute" hahahhhahaha
Amn mn xo ivoUnaona kosa lako hivi unashindwa kuandika sasa? Upaswi kupewa msaada kabisa wewe
Endelea na matatizo yakoAmn mn xo ivo
Nkuwa cjui bebi..mimi kk ni dd🙄🙄😱😱😳😳😳
Mimi huwa sizisomi kabisa jumbe kama hizo.Aiseee yaani huwa inanikera sana mtu kuandika hivyo