Ndio hivyo...usitume kwa mkonoIvi kwenye Barua ya kuomba kazi wakiandika Hand delivery is not accepted wanaamaanisha utume posta kwa njia ya EMS au kawaida tu???
Wengine unakuta wanaandika tuma posta kwa njia ya kawaidaUsipeleke barua kwa mkono hapo ofisini
upo sawa yaani usipeleke mwenyewe ofisini kwao itume kwa njia ya posta au kama katika tangazo walisema utumie emailIvi kwenye Barua ya kuomba kazi wakiandika Hand delivery is not accepted wanaamaanisha utume posta kwa njia ya EMS au kawaida tu maana kuna njia nyingi za kutuma kupitia posta kuna kawaida,EMS,Rejesta n.k???
Tuma kwa njia ya posta itakayosaidia barua kufika mapema mf EMSIvi kwenye Barua ya kuomba kazi wakiandika Hand delivery is not accepted wanaamaanisha utume posta kwa njia ya EMS au kawaida tu maana kuna njia nyingi za kutuma kupitia posta kuna kawaida,EMS,Rejesta n.k???
Aiseee nimekupenda buree...hawajaandika kutumia njia ipi na mm nipo SimiyuMaelezo yote huwa yanakuwepo kama utume kwa EMS, register au ordinary. Kama hawakuweka maelekezo basi wee tuma kawaida tu, nenda kwenye kaunta ya posta wapime barua yako ina uzito kiasi gani na itachukua stamp ya shilingi ngapi halafu ukishalipia, lamba kidogo hiyo stempu kama hakuna kidude cha maji hapo kaunta ya posta, bandika stempu yako, toka nje uliza sehemu ya kutumbukiza barua, kama ni barua ya kwenda hapa hapa nchini au nje ya nchi au kwa nyie wa "Daa" basi tumbukiza kwenye sanduku husika.
Kumbuka kabla ya kutumbukiza angalia tena kama umeandika anwani sahihi.
Alaa kumbe uko Simiyu: sehemu gani? Meatu, Maswa, Bariadi, Busega, Itimila au wapi? enewei jitahidi kusoma tena hilo tangazo kwa makini sana kabla hujatuma.Aiseee nimekupenda buree...hawajaandika kutumia njia ipi na mm nipo Simiyu
Niko Maswa nmesoma vizuri hawajaandika kwa njia ipiAlaa kumbe uko Simiyu: sehemu gani? Meatu, Maswa, Bariadi, Busega, Itimila au wapi? enewei jitahidi kusoma tena hilo tangazo kwa makini sana kabla hujatuma.
Basi wewe tuma kwa njia ya kawaida ila uhakikishe umeweka stempu ya bei husika, kama ufika posta ukiona kuna mambo huelewi elewi, kuwa huru kuwauliza watu wa posta, usione haya wala soni kuulizaNiko Maswa nmesoma vizuri hawajaandika kwa njia ipi
Jirani we kichaaMaelezo yote huwa yanakuwepo kama utume kwa EMS, register au ordinary. Kama hawakuweka maelekezo basi wee tuma kawaida tu, nenda kwenye kaunta ya posta wapime barua yako ina uzito kiasi gani na itachukua stamp ya shilingi ngapi halafu ukishalipia, lamba kidogo hiyo stempu kama hakuna kidude cha maji hapo kaunta ya posta, bandika stempu yako, toka nje uliza sehemu ya kutumbukiza barua, kama ni barua ya kwenda hapa hapa nchini au nje ya nchi au kwa nyie wa "Daa" basi tumbukiza kwenye sanduku husika.
Kumbuka kabla ya kutumbukiza angalia tena kama umeandika anwani sahihi.

Aisee nashukuru sana ubarikiwe kwa Allah!Basi wewe tuma kwa njia ya kawaida ila uhakikishe umeweka stempu ya bei husika, kama ufika posta ukiona kuna mambo huelewi elewi, kuwa huru kuwauliza watu wa posta, usione haya wala soni kuuliza
hahahahaah, unajua hawa watoto hawajui mambo ya kupost barua!!! wao wanajua tu kuandika sms tena kwa lugha kama hizi "xaxsa, cikuoni, 208 eti ndio tuonane" hahahahahahahahahahahJirani we kichaa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Aiseee yaani huwa inanikera sana mtu kuandika hivyohahahahaah, unajua hawa watoto hawajui mambo ya kupost barua!!! wao wanajua tu kuandika sms tena kwa lugha kama hizi "xaxsa, cikuoni, 208 eti ndio tuonane" hahahahahahahahahahah
Hahahahaha io 208 nomaa sana lzm upoteee kdghahahahaah, unajua hawa watoto hawajui mambo ya kupost barua!!! wao wanajua tu kuandika sms tena kwa lugha kama hizi "xaxsa, cikuoni, 208 eti ndio tuonane" hahahahahahahahahahah
Nikipeleka kwa mkono kuna tatizo gani?Usipeleke barua kwa mkono hapo ofisini
Yaani hata wakiandika barua ya maombi ya kazi, kama masharti ni kuandika kwa mkono barua husika, hawajui hata kuacha margin ya kutoka pembeni (mstari wa pambizo), yaani anaandika pembeni kabisa ya karatasi kiasi kwamba hiyo barua ikipokelewa wakitoboa kuweka kwenye faili maneno mengine yanatoboka. Halafu hata juu ya Bahasha anapoandika anwani ya huko anapotuma, wengine utaona aandika juu kabisa ya bahasha badala ya kuandika katikati ya bahasha tena kwa herufi kubwa zinazosomea sawa sawiaAiseee yaani huwa inanikera sana mtu kuandika hivyo
21002hahahahaah, unajua hawa watoto hawajui mambo ya kupost barua!!! wao wanajua tu kuandika sms tena kwa lugha kama hizi "xaxsa, cikuoni, 208 eti ndio tuonane" hahahahahahahahahahah
Wana epuka labda utawashawishi kukuchukua au utafanya lobbying yoyote!Nikipeleka kwa mkono kuna tatizo gani?