Msaada: HADO (Kondoa) or HASHI (Shinyanga)

Keil

JF-Expert Member
Jul 2, 2007
2,214
803
Wandugu,

Kama kuna mwana bodi yeyote ambaye alishawahi kufanya kazi au bado anafanyakazi Mradi wa HADO (Hifadhi Ardhi Dodoma), nadhani makao makuu yake yalikuwa/yapo Kondoa; au mradi wa HASHI (Hifadhi Ardhi Shinyanga). Naomba awasiliane nami kwa njia ya PM, ninahitaji msaada wa info kuhusiana na miradi hiyo miwili.

Ninatanguliza shukurani!
 
Back
Top Bottom