Abramovic
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 324
- 598
Habari ya jioni wanabodi? Ni matumaini yangu nyote mu wazima wa afya njema.
Naombeni msaada, tatizo langu gari yangu inameza oil isivyo kawaida.
Yani kwa mfano nimeweka oil jumanne ya wiki iliyopita, lakini leo taa ya oil inawaka nikiangalia stick ya Oil inaonyesha engine haina oil kabisa. Hii ni mara ya tatu hali hii inajitokeza.
Kuhusu hali ya gari, gari bado mpya kabisa maana niliinunua mwaka jana February ni namba DJW, Oil nayotumia ni Castrol GTX 20W-50. Gari yangu ni kwa matumizi binafsi tu sio biashara, yani kwenda ofisini na kurudi na mizunguko ya kawaida ya mjini.
Nilijaribu kuwasiliana na mafundi kadhaa, fundi mmoja alinishauri kubadilisha mswaki (nusu engine), mwingine akashauri kufanya overwhole service ili kutatua tatizo. Sasa hivyo vyote ni gharama kubwa kiasi kwamba naona bado mapema sana kwa gari kama hii kufanyiwa service ya hivyo.
NB: Gari natumia mwenyewe sichangii na mtu pia wakati wa kubadilisha Oil hua nakuwepo nashuhudia fundi akibadilisha. Aina ya gari ni Toyota IST 2005
Tafadhari naombeni msaada wadau nini cha kufanya, niwaombe radhi kwa maelezo marefu.
Natanguliza Shukrani.
Naombeni msaada, tatizo langu gari yangu inameza oil isivyo kawaida.
Yani kwa mfano nimeweka oil jumanne ya wiki iliyopita, lakini leo taa ya oil inawaka nikiangalia stick ya Oil inaonyesha engine haina oil kabisa. Hii ni mara ya tatu hali hii inajitokeza.
Kuhusu hali ya gari, gari bado mpya kabisa maana niliinunua mwaka jana February ni namba DJW, Oil nayotumia ni Castrol GTX 20W-50. Gari yangu ni kwa matumizi binafsi tu sio biashara, yani kwenda ofisini na kurudi na mizunguko ya kawaida ya mjini.
Nilijaribu kuwasiliana na mafundi kadhaa, fundi mmoja alinishauri kubadilisha mswaki (nusu engine), mwingine akashauri kufanya overwhole service ili kutatua tatizo. Sasa hivyo vyote ni gharama kubwa kiasi kwamba naona bado mapema sana kwa gari kama hii kufanyiwa service ya hivyo.
NB: Gari natumia mwenyewe sichangii na mtu pia wakati wa kubadilisha Oil hua nakuwepo nashuhudia fundi akibadilisha. Aina ya gari ni Toyota IST 2005
Tafadhari naombeni msaada wadau nini cha kufanya, niwaombe radhi kwa maelezo marefu.
Natanguliza Shukrani.