Babu Kijana
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 589
- 278
Natafuta fremu mbili tofauti, moja yenye ukubwa wa kawaida iwe kinondoni au mwananyamala kodi isizidi elfu 80 kwa mwezi, na ya pili iwe kubwa sana ya kuweza kuweka mini supermarket maeneo ya gongo la mboto au kitunda au chanika mjini penye watu wengi kodi isizidi laki na nusu.
Mwenye kujua au kuwa nayo anifahamishe.
Mwenye kujua au kuwa nayo anifahamishe.